Tunauza mbao ndefu peke yake...hata ivo bei inatokana na wingi wa mbao unazotaka na ulipo kwa Tanzania! Kama utataka mbao ndefu nipe idadi kamili unayotaka ntakupa bei ambayo ni ngumu kupata kwingine.
Tunauza MBAO aina mbalimbali kwa bei ya jumla kutegemea na idadi unayotaka,mbao zote zinatokea Mafinga-Iringa. Mfano
2 by 6@ 1335 kwa futi
2 by 4@ 840 kwa futi
1 by 10@15,000 kwa ubao wa futi 12
1 by 8 @ 10000 kwa ubao wa futi 12
N.B Kwa maelezo zaidi Nipm au piga 0655 65 65 65
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.