Ndugu Lowasa anatambua tatizo kubwa linalowalabili watanzania.katika hotuba yake ya mbeya,arusha na leo katika uzinduzi wa kampeni ni babu sea jamani hii ni shida kubwa sana
Kama mgombea wa urais lupitia ukawa atahutubia wananchi kwamudamfupi kwa kutumia visingizio mbalimbali kama lutanguliza waongeaji wengi nk ili watumie muda mwingi nayeye kuonge muda fupi atakuawa amejaliza. Kama ataongeakwa muda wa zaidi dakika 45 basi atakuawa kweli ameanza kampeni vizuri.muda...
jakarason1974 nafikiri jibu la swali lako utalipata kwa mgombea wa Ukawa amekua mbunge wa monduli kwa Zaidi ya miaka20 hajaweza kutatua kero za wananchi.katika elimu afya miundombinu na kadhalika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.