Recent content by ormystatus

  1. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Asante, nitafanya hilo pia.
  2. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Shamba lina mikorosho, Hakuna namna linaweza tosha kulima nyasi za kulisho mifugo mingi kulingana na malengo yangu.
  3. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Haliuzwi, kama unahitaji Shamba la mikorosho lipo moja kijiji cha Maundo nilinadishiwa.
  4. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Asante Lengo si unenepeshaji tu, pia na ufugaji. Hivyo sitoweza kufuga kwa feedlot Pia, kutumia feedlot pekee itagharimu pesa nyingi ukilinganisha na kwenda machungani ukizingatia shughuli hii itafanyika mkoa wa Mtwara, ambao gharama ya vyakula ipo juu.
  5. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Ningeweza kufanya hivyo pia, lakini napendelea kutumia majukwaa kama haya kwa faida ya wote
  6. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Shamba tayari lina mikorosho na ishakuwa mikubwa, kuotesha nyasi itakuwa changamoto uko mbeleni mfugo utakapoongezeka.
  7. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Asante kwa mawazo mazuri Inawezekana kufuga kwa kuwakatia malisho lakini itahitaji pesa nyingi na nguvu kazi kubwa kubwa sana kulingana na malengo yetu. Malengo ni kumiliki idadi kubwa ya mifugo hivo hili wazo linakuwa ngumu kutekeleza kama mfuko haujitoshelezi Pia nadhani Kule kusini bhado...
  8. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Asante. Ndio nimelizingatia hilo na ndio sababu ya Sisi kusitisha taratibu za kufanya hiyo Shughuli kwenye Shamba tunalolimiliki kwa sasa
  9. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Wallah inaonekana ulikuwa Bingwa wa Somo la Kiswahili shuleni Hujaacha hata desimali.
  10. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Mimi na Mama mzazi-Business partner ambae tunatarajia kuanza ufugaji na biashara ya kunenepesha mifugo na kuuza
  11. ormystatus

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Hapana, nahitaji msaada kujua maeneo rasmi yaliyotengwa kwa ajili ya Malisho ya Mifupo Mkoa wa Mtwara.
Back
Top Bottom