Asante
Lengo si unenepeshaji tu, pia na ufugaji. Hivyo sitoweza kufuga kwa feedlot
Pia, kutumia feedlot pekee itagharimu pesa nyingi ukilinganisha na kwenda machungani ukizingatia shughuli hii itafanyika mkoa wa Mtwara, ambao gharama ya vyakula ipo juu.
Asante kwa mawazo mazuri
Inawezekana kufuga kwa kuwakatia malisho lakini itahitaji pesa nyingi na nguvu kazi kubwa kubwa sana kulingana na malengo yetu.
Malengo ni kumiliki idadi kubwa ya mifugo hivo hili wazo linakuwa ngumu kutekeleza kama mfuko haujitoshelezi
Pia nadhani Kule kusini bhado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.