Recent content by omoghaka

  1. O

    Ijumaa ya leo ikukumbushe tu Sabato ni Jumamosi

    Hakuna andiko lolote Mungu aliposema Sabato au siku ya Saba ni Jumamosi. Someni maandiko vizuri.
  2. O

    Ijumaa ya leo ikukumbushe tu Sabato ni Jumamosi

    Unachanganya mambo. Amri ya kupumzika siku ya Saba haikuanzia Edeni.
  3. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Hapo ndipo mnapoonekana wachanga mno. Huyo Yohana unayetolea mfano uliambiwa alikuwa anahubiri akiwa ameshika Biblia?. Labda nikufundishe. Yesu hakuwahi kuagiza injili itangazwe kupitia Biblia. Mababa wa Kanisa ambao ni wengi mno tofauti na hao ulioambiwa na Wakatoliki kupitia Biblia,walikuwa...
  4. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Unataka zaka na sadaka zipelekwe wapi. Zitumike kunufaisha familia za Mapadre kama inavyofanyika Kwa wachungaji?
  5. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Ukishajua uliletewa Biblia na wakatoliki umepona. Biblia ni Kitabu Cha kufundishia kilichobuniwa na Wakatoliki Kwa ajili ya kusaidia(supporting) kufundisha Imani ya Kanisa Katoliki. Mitume na mababa wa Kanisa walitangaza neno la Mungu bila uwepo wa Biblia. Wakristo nao walikuwa wanawasikiliza...
  6. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Kwa kweli Kuna Raha. Eti msabato na Mlokole wanaijua Biblia kuliko waliowaletea. Maajabu hayajawahi kuisha duniani.
  7. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    IFAHAMU IDADI NA MAJINA YA MAPAPA (BABA WATAKATIFU) KUTOKA PETRO HADI BABA MTAKATIFU FRANSISKO KATI YA MWAKA 33 A.D - 2022 Orodha ya Mapapa 1. St. Peter (33-67) 2. St. Linus (67-76) 3. St. Anacletus (Cletus) (76-88) 4. St. Clement I (88-97) 5. St. Evaristus (97-105) 6. St. Alexander I...
  8. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Nashukuru Kwa ushauri wako. Binafsi nimeshajutoa kwenye huu mjadala usio na tija.
  9. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    2 Wafalme 5:10 : Elisha akamtuma mtumishi wake amwambie, “Nenda ukaoge mara saba mtoni Yordani, nawe utapona kabisa.”
  10. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    ACHA kushupaza shingo. Vile ni vipimo vya Imani TU. Vipo vingi kwenye Biblia. Unaambia Fanya hivi utakuwa hivi. Ile sio ibada. Hata Nabii Elisha alimwambia Naamani akaoge Yordani apate kupona. Huwezi kusema eti kuoga Yordani ilikuwa ni ibada ya Sanamu.
  11. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Kazi kweli kweli. Kwa hiyo mchungaji kawafundisha kwamba pale alipoinuliwa nyoka wa Shaba waisrael walikuwa wanamwabudu yule nyoka badala ya Mungu? Au walikuwa wanaabudu nyoka na Mungu Kwa wakati mmoja?. Ile Sanamu ya Nyoka ndio ilikuwa Mungu wao kipindi hicho wakawa wanaabudu?. Tuliza...
  12. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Ukitaka kujua sehemu ulipo ni feki, Huna ujasiri wa kutamka hadharani dhehebu lako.
  13. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Roman Katoliki ni Kanisa lililojengwa Juu ya Mwamba(Petro)
  14. O

    Waumini wa Kanisa Katoliki ni wavumilivu sana

    Nimetaja hekalu kama kiwakilishi Cha sehemu rasmi ya ibada. Pale mtini alipotundikwa Nyoka hapakuwa sehemu rasmi ya ibada wala makuhani hawakuwa wanapatumia kuondolea watu dhambi. Yesu ni kuhani mkuu anayefanya kwa mfano wa makuhani wa enzi za kale Kwa kuwaondolea watu dhambi. Kusema Mungu...
Back
Top Bottom