Recent content by Ombe

  1. O

    Magufuli aponda dhana ya polisi jamii dhidi ya majambazi : Waziri Masha na Mwema mpo!

    Mimi nashangaa kwa nini huyu bwana hachukui fomu ya kuwa rais. Hapa nina maana ya kwamba huyu bwana anatakiwa awe rais wa Tanzania na hapo ndo tunaweza at least kuwa na ndoto ya maisha bora. Namshangaa kikwete kumpa wizara za ajabu ajabu lakini bado twaona mambo anayofanya. Sijui ni kwa nini...
Back
Top Bottom