Recent content by omary nkilijiwa

  1. O

    Je Unahitaji, mashine bora za umeme kwaajili kufyatua Tofali?

    vipi kuhusu sand mixer zina bei gani na zina uwezo wa kuchanganya mifuko mingapi kwa awamu moja?
  2. O

    Ninahitaji kufahamu kuhusu biashara ya mabondo ya Samaki

    ndio Kaka ni ziwa lakipekee sana hili tofauti na mengine
  3. O

    Ninahitaji kufahamu kuhusu biashara ya mabondo ya Samaki

    Mimi nipo huku kwenye ukanda wa ziwa tanganyika,huku pia kuna sangara lakini kama unavojua hili ziwa lina maji chumvi ,hicho kinaweza kua kikwazo kwenye hii biashara,namaanisha samaki wa kwenye maji chumvi mabondo yao pia yananunulika ?
  4. O

    Ninahitaji kufahamu kuhusu biashara ya mabondo ya Samaki

    anhaa sawa,kwenye kuyakausha hapo kuna utaalamu au kemikali inayotumika au ni kwa kutumia mwanga wa jua tu
  5. O

    Pafyumu za kupima-Utajiri nje nje!

    Kaka naomba utueleze kuhusu hii fursa pia,maana ndo naisikia leo kwahyo nahitaji ufafanuzi kuhusu hili
  6. O

    Ninahitaji kufahamu kuhusu biashara ya mabondo ya Samaki

    pia kuhusu usafirishaji inabidi niyakaushe kwanza ndipo naenda kuwauzia au wananunua yakiwa fresh wanakausha wao
  7. O

    Ninahitaji kufahamu kuhusu biashara ya mabondo ya Samaki

    kwahiyo nikiwa nanunua kwa wavuvi inabidi niwe napeleka kuuza kwenye viwanda vyao hao wachina na hakuna soko jingine
  8. O

    Ninahitaji kufahamu kuhusu biashara ya mabondo ya Samaki

    Msaada jamani ninahitaji kufahamu kuhusu biashara ya mabondo ya samaki
Back
Top Bottom