Recent content by Omary 1998

  1. O

    SoC04 Maboresho juu ya washukiwa wa ripoti ya CAG

    Serikali ya Tanzania kupitia mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG) wamekuwa wakitoa ripoti kunako mahesabu ya mwaka katika nyanja mbali mbali na kufanikiwa kubaini makamilifu katika sekta mbali mbali Hali kadhalika na madhaifu katika sekta mbali mbali hapa nchini kunako mahesabu ya fedha za...
  2. O

    SoC04 Iundwe kamati maalumu ili kuchochea Uongozi

    MAWAZO YANGU JUU YA VIONGOZI WANAOCHAGULIWA NA WANANCHI. Katika nchi yetu Kuna jopo kubwa Sana la viongozi ambao huingia madarakani kupitia kuchaguliwa na wananchi ambao viongozi hao ni wenyeviti wa vijiji, madiwani na wabunge . Viongozi hawa hushika madaraka wakiwa na jukumu kubwa la...
  3. O

    SoC04 Maoni juu ya sera ya kata mti panda mti

    MAONI JUU YA SERA YA "KATA MTI PANDA MTI" Serikali ya Tanzania ilianzisha sera yenye kauli mbiu ya KATA MTI PANDA MTI kwa lengo la kuzuia ukataji wa miti hovyo ili kuweza kupambana na mabadiliko mbali mbali ya tabia ya nchi yanayoweza kujitokeza . NINI MCHANGO  WA SERA HII ? Kwa upande wangu...
Back
Top Bottom