Recent content by Omari Frank

  1. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kesho ya Afrika ipo katika mtandao

    Kwanza kabisa nikupongeze kwa maono haya makubwa, Nikushukuru pia kwa kutuonesha ni namna gani Africa tunaweza kwenda mbele kama tutaamua kuboresha baadhi ya mifumo. Ni ukweli usiopingika kwamba pamoja na uliyoyaandika, Africa tuna changamoto za kimifumo na namna tunavyoendesha mambo yetu huku...
  2. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Misingi ya ukuaji kiuchumi kwa mtazamo na uzoefu wangu

    Nashukuru. 🙏 Naomba niipitie hiyo makala lakini naamini itakua nzuri na maono makubwa kwamaana hata kichwa cha habari tu kinasadiki.
  3. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kukuza na kuendeleza Elimu Tanzania

    🙏🏿
  4. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kukuza na kuendeleza Elimu Tanzania

    🙏🏿
  5. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Misingi ya ukuaji kiuchumi kwa mtazamo na uzoefu wangu

    Sawa Mkuu. 🙏
  6. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Uwajibikaji

    Naheshimu mawazo yako kamanda. Tupo pamoja. 💪
  7. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Misingi ya ukuaji kiuchumi kwa mtazamo na uzoefu wangu

    Hapana, sijagoogle na pengine nikukaribishe Mawenzi na Sabasaba Mkoani Morogoro ili nikuoneshe baadhi tu ya miradi pia ukutane na watu wanaofaidika na miradi yangu na uwaulize namna tulivyoanza hadi tulipofikia, watakueleza kila kitu. Shughuli za kiuchumi huwa nazifananisha na mtoto...
  8. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Uwajibikaji

    Kaka mchakato wowote wa maendeleo una maumivu ndani yake, inawezekana kabisa ongezeko la tozo na kupanda kwa gharama za maisha ni chumvi kwenye vidonda vya watanzania walio wengi lakini ikiwa kama tozo hizo zinatumika kuboresha elimu, Afya, Miundo mbinu, Umeme, Maji, Kulipa madeni ya Taifa n.k...
  9. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Uwajibikaji

    Mada kuu: UWAJIBIKAJI Uwajibikaji ni hali ya kutimiza majukumu bila shuruti. Uwajibikaji unahusisha kufanya kazi kwa bidii, kujitoa katika shughuli za kijamii, kutunza familia na kulitumikia Taifa kwa nidhamu kubwa na uzalendo. Kwa mataifa yaliyoendelea kama vile CHINA, JAPAN, MAREKANI n.k...
  10. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Misingi ya ukuaji kiuchumi kwa mtazamo na uzoefu wangu

    Mada Kuu: MISINGI YA UKUAJI KIUCHUMI KWA MTAZAMO NA UZOEFU WANGU. Nimefurahi kupata nafasi ya kueleza jambo kuhusu uchumi kwasababu binafsi nimejikita katika shughuli za kiuchumi kwa muda mrefu hivyo basi ninaweza kuwa na jambo la kusema kwa wadau wa maendeleo na wanajamii Forums. Kimsingi...
  11. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kukuza na kuendeleza Elimu Tanzania

    Ni kweli vipo lakini kama ulivyosema kuna mambo mengine mengi yanatakiwa kupewa nguvu kama hizo tafiti ulizosema pia kutia mkazo kwenye hizo shule na vyuo, kutia mkazo kwenye masomo ya vocational skills mashuleni kama vile mapishi, urembo, upambaji n.k sisi ndio wakupaza sauti na kushinikiza ili...
  12. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kukuza na kuendeleza Elimu Tanzania

    Faida zipo kaka, ndio maana tunasisitiza serikali iimarishe shule za ufundi, kuibua vipaji mashuleni, kuimarisha matumizi ya tehama n.k. Vyote hivi ni sehemu ya elimu na vina mchango mkubwa sana katika maisha ya kujiajiri na hata kuajiriwa. Ahsante🙏
  13. Omari Frank

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kukuza na kuendeleza Elimu Tanzania

    Mada kuu: Elimu Jina la mwandishi: Omary Frank Manispaa: Morogoro Mjini Mkoa: Morogoro Mawasiliano: 0767408787 Email: hamadiomary07@gmail.com KUHUSU MWANDISHI Omary Frank ni Mwalimu, Mjasiriamali mdogo, Mkulima na mdau mkubwa wa maendeleo. Pia ni mwanzilishi wa mradi unaojulikana kama...
Back
Top Bottom