Recent content by Omar omar

  1. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Zitapokelewa wote sifa mnazo tatzo kuna wenzenu waliofika makao makuu kuna taarifa waliandika ndo hiyo shida hakuna mtu wa kukuandikia barua yako ikifika
  2. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Afu kuanzia monday kuna usahili unafanyika mlale jkt wa kuingia TMA kwa waliosoma sayansi advance
  3. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Wanangu za chini ya kapeti wanasema wameanza na waliopeleka barua makao makuu, waliopeleka posta hawakuelewa maelekezo barua za posta hazijafika
  4. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Ee this term walitaka shule tatu kukawa na mvutano ndo sababu ya kuongeza maanga RTS zote mbili, hivyo kozi ni zile zile shule mbili
  5. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Yeah wanaweza kufika inshu imekaa kisiasa hii
  6. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Naam kaka na sio Tu watu 6000 wanaweza kuongezeka kulingana na maandalizi kukamilika kwa wakati ndo vikao vinavyoendelea kwa sasa
  7. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kaka RTs kihangaiko inahitajika waende 3500 afu RTs ya longido wanatakiwa zaidi ya 2500 na ushee, though huwa wanachukua jumla ya watu 5000 lakini this term wameongeza kwa sbb ya political agenda next year ni general election Nd maana wameongeza watu na sio Tu wizara ya ulinzi sector zote...
  8. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Sema mwanangu suala la kutumiwa meseji watu zaidi ya 5000 sio kwel mi najua siku ikifika ni mkeka pdf la maana usipoona jina bhs tena jarbu mwakani
  9. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kutoka dar mpk msata haifiki elfu kumi mkuu panda gari la kwenda tanga unashukia palepale kikosini
  10. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    😂 Sema wakuu ronja zinasema kozi inatakiwa kuanza mwezi wa Tisa saivi wapo wanaandaa camp bogi la term hii linachukua watu wengi sana wanaongeza maanga RTS zote mbili, ila term hii tutegemee pdf sio meseji na nikuanzia tarehe 21 next week
  11. O

    Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mkuu kwani majina yanatoka kwa pdf au ni kwa meseji?
Back
Top Bottom