Recent content by Oliva oliva

  1. O

    Nauza maziwa fresh kwa bei poa

    Habari zenu wana jamvi. Nauza maziwa fresh mazuri kabisa tunakamua kwenye ng'ombe wa kienyeji kwa bei ya; Lita moja 1300 Lita tano 6500 Tunasambaza majumbani kwa wakazi wa mbeya mjini. Tunapatikana Mbeya Forest mpya. KARIBUNI.
  2. O

    Miuno feni haiwezi kuniacha salama; msaada plz

    Tatizo lenu mkizungushiwa dakika moja tu mshamwaga, mimi kunifikisha unashindwa,unahitaji kiuno feni kuhimili mikiki huwezi
  3. O

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    😂😂😂😂maneno yanavyokutoka bi kidude, umepanic hatari, nisamehe tu Bi dada sina nia mbaya na biashara yako basi tu uchokozi umenijaaaaa napenda tu sometimes kutibua watu ila si kwa nia mbaya, sikujui hunijui tusiwekeane vinyongo visivyo na sababu, kuchambana bila sababu za msingi sio vzr.Nisamehe...
  4. O

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    Unajifariji tu nani anunue vitu vya stoo kwa bei ya kidalali, kawapelekee washamba wenzako huko kwenye ukoo wenu,maana umasikini umewajaa ukoo mzima, jimama zima mdomo mrefu kama kunguru
  5. O

    Nauza vitu vya ndani, na atakayetaka kununua chumba na vitu vyote pia nauza

    Hizo kochi zilivyo hazina mvuto na hizo draft zake eti laki sita..hata nikipewa bure siwezi nikaziweka ndani kwangu
Back
Top Bottom