Recent content by OLDMAN

  1. O

    Jerry Silaa azidi kuiponda CHADEMA, awaita wavuta bangi

    Watanzania waangalieni sana hawa wanaccm na sera zao kuvuta bangi na unga halafu walinganisheni na wapinzani na sera za MITAALA YA ELIMU FEKI,MAJI, NISHATI, na nyingi nyingone je ni wapi wanafaa 2015 sijawai hona wala sikia hoja ya msingi kutoka ccm kama sio bangi,unga na pombe kama huyo jerry...
  2. O

    Kwa hili; CHADEMA hawakutenda Vyema, Walikosea!

    Ndugu hata bungeni penyewe hao maspika na serkali yao kuambiwa ukweli kwao ni matusi jua ilo na imesababisha mda mwingine hata wabunge wa upinzani hama kutoka au kutolewa nje ya bunge. Pia watanzania ndio wenye uchungu na rasilimali zao basi kama ngivu ya umma imepata nafasi ya kuwaambia ukweli...
Back
Top Bottom