Well done. Umenikumbusha enzi zetu tukiwa Sekondari. Tafadhali wenye picha kama hizi wasiwasilishe. Kuhusu mavazi, mitindo ya nywele, viatu (raizon) nk.
Arusha
Ndugu zangu wa Jamii Forum na wadau wanaoweza kuchangia, tatizo la ajira kwa vijana linatisha hapa nchini. Lakini leo nazungumzia vijana waliomaliza Vyuo Vikuu, ambao hawana ajira na wanazagaa kila mahali. Taifa limetumia fedha nyingi kuwapa elimu kwa mategemeo makubwa kwamba watalisaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.