Kila la kheri mkuu ucjali mwanzo mgumu lakini ipo siku pesa itakuwa inajiendesha yenyewe,kumbuka usipothamini kidogo ulichonacho hata kikubwa pia ukijakukipata utasema bado ni kidogo,mfano mzuri ni kwangu mwenyewe nilikuwa na milion moja,nikaomba msaada kutoka kwa wadau wakaniongezea kidogo(kwa...
wanajamii wenzangu jana nilifanikiwa kuongea na mzee mmoja kutoka SIDO hapo Dar ambaye anatengeneza hizi machine,alisema kwa mashine inayoweza kukamua 200kg kwa saa,inauzwa kwa 4.5mil na unatoa order ya mwezi mmoja na nusu,hiyo bei ni pamoja na moter yake.nashukuu sana wadau
Wanajamii foroum nimekuwa nikiwafuatilia sana lkn sikuwahi kama mimi kupost hoja/ombi,kwa kweli mchango wenu ni mkubwa sana katika jamii,naomba mnisaidie mwenzenu nataka kujua bei za mashine ya kukamua alizeti zinauzwa wapi na ni shilingi ngapi kwa seti iliyokamilika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.