" Mtoto ni wangu! Cause kufanana nimefanana nae kupitiliza! Ila kwa sababu kashapewa Ubini wa mtu mwingine mimi nimeamua kuachana nae tu cause mtoto hata kama umefanana nae vipi, kama mama kashakwambia si wako basi si wako huyo cause yeye ndo anajua baba halisi wa mtoto. So kama kapewa kweli huo...
Ni hivi nilimuomba kadi make wangu akawa ananipigisha chenga! Na ukimuuliza anasema ni yangu! Then yeye nafkiri akamwambia mama yake kuhusu hili la kwamba nahitaji kuona kadi mana anadai aliliacha home kwao! Hapo ndo mama mkwe akatoa jibu hilo!
Correction sikua naishi ukweni, nilikua kwangu kabisa! Sema nilikua nje ya mkoa kikazi kwa muda was mwezi mmoja!
Pengine ndo alitumia hio nafasi kwenda kinyume na mimi!
Pili mimi sio Khanithi! Khanithi ni mtu asiesimamisha na asie na uwezo wa kufanya mapenzi au kumuingilia mwanamke.
Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.