Recent content by ogwitabolela

  1. O

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya uunganishiwaji umeme wateja wapya Tanesco-Mkuranga

    Kumekuwa na ucheleweshaji wa huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wateja wapya wilaya ya Mkuranga ambapo mteja anakuwa ashafata taratibu zote kwaajili ya kupata huduma ila mteja anasubirishwa Hadi miezi sita bila kupata huduma. Na ukijaribu kufatilia wanakuambia Kuna uhaba wa vitendea kazi kama...
Back
Top Bottom