Recent content by Ogolaondiek

  1. O

    Naibu Waziri mambo ya ndani: CCTV kufungwa majiji yote!

    Kutekwa kwa Dewji ni jinai ambayo ni kazi ya Polisi. Mbona taarifa tunapewa na Waziri? Mwanasiasa?
  2. O

    Rais Magufuli awapa siku 14 wamiliki wa vituo vya mafuta kutumia EFD la si hivyo wafutiwe leseni

    Siku 14! Hii inawezekana kama tu hizo mashine zinapatikana kila mkoa. Taarifa iliyopo ni kwamba inabidi ziagizwe kutoka kwa mzalishaji ambaye yuko nje. Azitengeneze kisha azilete. Hii inatakiwa miezi mitatu. Kwa hiyo vituo vingi vitafutiwa leseni. Maana ya hii ni uhaba wa mafuta. Ndiyo tunataka...
Back
Top Bottom