Nimezungumzia masomo machache ikiwa na maana baadhi ya masomo yapuguzwe na watoto wachaguliwe masomo yao mapema kwa sababu inapofikia darasa la nne, waalimu, wazazi na hata mwanafunzi mwenyewe anakuwa na mwanga wa kuwa anafanya vizuri hasa kwenye masomo gani.
Kuhusu elimu ya fedha sio kila...
Elimu za shule ya msingi (masomo) ni mzigo mkubwa sana hasa kwa watoto ambao hawajui maisha yao ya baadaye yatakuja kuwa upande upi, labda huenda mtoto akawa daktari, rubani, mcheza soka au michezo miingine ya sasa inayoingizia vijana kipato.
Mwanafunzi wa shule ya msingi anaposoma masomo zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.