Recent content by OCTA

  1. O

    Hivi ile kampeni ya kizalendo ya Kuibeba TTCL imefikia wapi?

    Ni vizuri nguvu iliyotumika wakati ule ikatumika hata sasa. Kinachowafanya TTCL kuwarudisha watu nyumbani kwa sasa ni huduma bora na gharama nafuu.
  2. O

    Msafara wa boda boda toka Mbarali wavamia nyumbani kwa Lowassa, Dodoma

    Msafara wa Bodaboda uliosafiri kilometa 600 toka Mbarali hadi Dodoma, umefanikiwa kuibukia Dodoma bila kuonekana huko njiani. Hii inawezekana kama mumeamua kwenda "KUMSHAWISHI" mtanzania mwenzenu kugombea kuongoza Tanzania. Madereva hao wa bodaboda, ambao wengi sio zao! Wanaohangaika kupeleka...
  3. O

    Ujanja wa "kuombwa kugombea", Tunachezea hatma ya Taifa letu!

    Wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, ilikuwa ni kipindi muafaka cha kujiuliza tulikosea wapi, ili tujirekebisha na kujenga misingi imara ya Taifa letu! Misingi itakayoweka kikomo cha kujiuliza kwa nini nchi hii ina kila kitu lakini bado ni maskini? Misingi ya kuwa na viongozi bora...
  4. O

    Kesho zamu ya tanesco; tbc wamefanya kazi yao!

    Baada ya TBC kufanya kazi yao kwa weledi uliotukuka kwa kukatisha matangazo mara tu Lisu alipoanza kushusha nondo zake, kesho ni zamu ya Tanesco. Tanesco hawana mkataba na Bunge kwamba umeme lazima uwepo muda wote bunge likiwa hewani, na hasa hasa Lisu atakaporudia kushusha nondo zake. Lengo ni...
  5. O

    Tume imeonyesha udhaifu mkubwa kutumia neno "tanzania bara"

    Haiingii akilini kwamba wajumbe wa tume bado wana woga wa kutumia neno Tanganyika na wakajikuta wanalazimika kutumia neno Tanzania Bara. Huku wakijua kabisa kwamba huu muungano ni wa Tanganyika na Zanzibar. Ule woga wa enzi "zile" bado wanao, kwamba wataonekana wanataka kurudisha serikali ya...
Back
Top Bottom