Recent content by obed venance

  1. O

    Viwango vipya vya alama ACSEE 2014

    cjakububaliana na hicho kitu amin kuwa viwango vya a level havibadilik cio wote watakaopata alama 34 nakuendelea mwenye zero upto 33 atakua hajafanya mtihan? na hakuna F ya 0-33
  2. O

    Kweli kipendacho roho hula nyama mbichi Niliacha kusoma bachelor ya IT na kusoma CO

    uko sawa mm mwenyewe tcu walinipeleka ifm but nilisepa kwanza ifm haijatulia ki academic ya it harafu kwann tcu wawapeleke wanafunzi kalibia wote hawakukiomba chuo kile mwaka jana iyo.na msomaji anapelekwa haliya kuwa nikipofu so kuna kjn alipiga hgl alipewa acount just imagine
  3. O

    Breaking news:afya watoa post

    wametoa hewan kwenye website yao muyatupie humu
  4. O

    Breaking news:afya watoa post

    100% matokeo yapo mbaon lakin sio haki kwa waishio mbal
  5. O

    Breaking news:afya watoa post

    so yametoka au bado mbona hatuwaelew kuwen logical
  6. O

    Je,kuna uwezekano wizara ya afya kutoa majina wiki ijayo?

    we umechek wap au una makengeza a.k.a macho ya mchuz
  7. O

    wizara ya afya

    yawezekana afya imeingiliwa na siasa kiutendaji cos mpaka sasa hakuna taarifa yeyote wanayoitoa kama vile hakuna mchakato wowote
  8. O

    Waliochaguliwa UDSM undergraduate

    those names are from tcu or direct applicants to university
  9. O

    TCU selections are OUT!!

    umeingilia wap ku login!
  10. O

    TCU selections are OUT!!

    nahisi wakat umefika wa mavuno kwa wote maana haijawahikutokea tusubil matokeo yake
  11. O

    TCU selections are OUT!!

    nimejarib login wananiambia login fail nanyi jaribun sasa
  12. O

    ushauri kuhusu kuacha ualimu

    for sure komaa tu usije ukaacha ukajuta badae jiendeleze tu mbelen utafanikiwa
  13. O

    mbinu ya kupata gpa nzuri kwa chuo

    piga msuri wa kutosha na kuwa mfatiliaji wa vitu na acha uzembe
Back
Top Bottom