Recent content by Nzafla Magonza

  1. N

    Msaada wenu walimu; nahitaji kubadilishana kituo cha kazi na mwalimu yeyote wa sekondari

    Mimi nipo Kigoma manispaa (kigoma ujiji) na nimwalimu wa sekondari yeyote yule kutoka Morogoro vijijini kuja Kigoma kama upo tayari naomba u-reply hapa tupeane mawasiliano. Asante.
  2. N

    Mishahara ya walimu mwezi huu vipi jamani?

    Binafsi maelezo niliyoyapata toka kwa afisa elimu mmoja ni kwamba ; kwanza hata wao bado hawajapata hiyo mishahara isipokuwa TT imefika leo mchana hivyo imepelekwa kufanyiwa processing kwenye benki yenye dhamana ya mishahara hivyo akatuambia hadi kesho itakuwa tayari na ikishindikana...
  3. N

    Ajira za walimu 36,000 kumwagwa mwaka huu

    KIJIWE CHA WASOMI: KAULI ZA VIONGOZI WA WIZARA YA ELIMU NA TAMISEMI KUHUSU AJIRA ZA WAALIMU WALIPO HOJIWA LEO ASUBUHI.
  4. N

    Serikali yatoa kibali ajira mpya za walimu.

    Serikali haina uhakika na mambo yake so kila kitu ni Suprise
  5. N

    Nimepata Dv 1 ya 14 na Kazi yangu ya Houseboy inanilipa...

    Finland unaenda kufanya shughuli gani? labda tujuze tupate picha nzuri zaidi katika maoni yetu
  6. N

    Ajira za walimu, kawambwa anena

    AJIRA MPYA ZA WALIMU. "Hili mmeliuliza sana. Natambua sana mnavyosononeka. Mimi pia sina raha kwa jambo hili. Linatushushia hadhi na heshima. Pia shule zinaathirika. Si muda mrefu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI itatangaza ajira mpya za walimu. TAMISEMI wameshakamilisha kupanga ajira mpya na...
Back
Top Bottom