Japo kume kuwepo na watu wenye elimu kubwa na akili ambao wamepitia mabadiliko hayo.
Kwa hiyo si sahihi kusema ni watu wasiojielewa na wasio na elimu tu lakini kwa Tanzania kumekuwa na wimbi kubwa ambalo ukiliangalia kwa undani utagundua asilimia kubwa ni watu wasio na elimu japo baadhi...
Toka enzi za kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi kumekuwa na utaratibu wa kupokezana vijiti kwa kuangalia pia dini ya mgombea mfano: akitoka mkristo anaingia muislam na kigezo cha pili ndiyo watu wanaangalia ushawishi na uwezo, na juu ya hayo kumekuwa na vugu vugu la kwamba kila raisi anaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.