Recent content by nyuli

  1. N

    Gari nissan tiida bei 4,500000/-

    MAKE OF VEHICLE =NISSAN MODEL =TIIDA LATIO TYPE OF BODY =SALOON C.C =1493 YEAR = 2005 SEAT = 5 TRANSITION =AUTOMATIC BEI NI FIXED INAVIBALI VYOTE VYA KUTEMBEA BARABARANI HADI MWAKANI FEBRUARY
  2. N

    Gari nissan tiida bei 4,500000/-

    Sijawahi kupata tatizo la gearbox mkuu,never!
  3. N

    Gari nissan tiida bei 4,500000/-

    Hiyo ni report ya checkup,baada ya kuipeleka checkup ndo nikapewa report hiyo mkuu,sasa mimi siyo fundi nikaipokea report,itakua ni vizuri nikakuelekeza kwa jamaa walio fanya checkup ukaione na uulize maswali zaidi kama upo Dar. Nimekuwa muwazi,mara nyingi najua kama mtu anataka kununua wengi...
  4. N

    Gari nissan tiida bei 4,500000/-

    Labda sababu Mimi siyo dalali hii gari ni yangu,angekua dalali hapo angeongeza zake juu,nauza sababu nimenunu gari nyingine hivyo hii inakaa muda mrefu bila kuendesha,sababu hua napaki tu nyumbani,mi ni mtu wa kusafiri safiri safari zangu natumia hii kubwa.
  5. N

    Gari nissan tiida bei 4,500000/-

    Gari nissan tiida inauzwa Bei 4,500,000/- Inahitaji service,kuweka Engine oil,Gear box oil,kubadilisha filter Gharama ya fundi kwa service zote unakabidhiwa gari ni 500,000/- picha check attachments Gari lipo Dar,maeneo ya Airport 0629068815
  6. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Ndugu Cannabis ulianza kwa maneno shombo kama haya Halafu baadae unageuka eti unajifanya unatoa constructive idea,tuache unafiki the first words ndo zinaelezea hisia zako Usijifananishe na wachangiaji wa stackoverflow,kule watu wanachangia kwa kuelezea kwa code wewe unaelezea kwa porojo na...
  7. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Sasa naona IT wameanza kukoment maana mwanzo zilikua fujo!
  8. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Baada ya kuiponda sana Instagram wakati inaanza kuna Developer mmoja aliandika maneno haya, Utpal Vaishnav, Developer & Entrepreneur "One can classify a design as a 'bad design' when he looks at it from 'analysis' perspective. People do not use an app or (any product for that matter) to...
  9. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Hiki kitu mkipe miezi michache tu halafu muone transformation yake itakavyo kuwa sababu hadi sasa inaonekana ni kitu kizuri ndo maana wengi mmekuja ku-coment either kwa kuboresha,kujenga,kusifia na wengine kudharau hiyo yote ni ishara kuwa ni kitu flani ambacho kimeamsha hisia. Sasa nadhani...
  10. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Give it atime utaakuja kuielewa mdogo mdogo!
  11. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Ningeona kama JF wanakutambua wewe kama expert member,ningeongea kitu ila kwakuwa JF wanakutambua kama you are just a member since 2011,Ngoja ninyamaze!
  12. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Nioneshe kazi yako ulio tengeneza nikajifunze kupitia hiyo moja kwa moja nadhani itakua bora zaidi,kuichambua yangu kwa maneno matupu sidhani tutajaza page kibao maana mimi natafsiri in practical way wewe unatafsiri in theory way!Napenda kwa hili tuwe practical zaidi,unaweza ukawa unaongea sana...
  13. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Hayo yote ni kweli mkuu,katika hangaika zangu hivyo vyote nilivifikilia na kuvijaribu,lakini kulinga na function ambazo nilikua nazitaka kuna vitu vilikua haviendi sawa kwa kutumia php?......=X,katika baadhi ya page kuna sehemu function hizo nimetumia na kuna sehemu sijatumia.
  14. N

    Nimeiunda social network hii.Wataalam wa IT karibuni kwa ushauri. kwa ushauri!

    Asante sana mkuu kwa kunipa moyo,naamini kwa kushirikiana na ma-IT wenzangu wenye mouno wa kujenga zaidi tutaweza kukifikisha mbali kitu hiki,kama ulivyo sema this is just a first version ni kweli hata instagram na social media nyingine zimepitia on number of stages kabla ya kufikia hapo sababu...
Back
Top Bottom