kweli jitahid ufanye hivo utam wa asali wek kiganjani ulambe mwenyew na ili kujua uzuri wa ngoma ingia kati mwenyew ucheze
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
kuna mafunzo....japo si wote nadhani ni asili cz hat tulozaliwa mbali na singida ilimradi ni wanyiramba bc tuna hiyo asili
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
ile sauto huja tu pale inapokunwa kisawasawa au unapofikishwa haswa usiombe mkafika pamoja ni shiiiida hakuna maigizo hapo huwa ndivyo hivyo na ndivyo ilivyo
usicheke mwaya kuna watu kweli mara sijui LIWA soap mar sijui vitu gani hawajui ndio chanzo cha kutengeneza harufu mbaya huko ukeni maji tu yanatosha tena baridi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.