Karibuni sana ubuyu bado upo na tupo wazi dukani mwenge kila siku hadi saa 2 usiku. Piga namba hizo uelekezwe vizuri. Ubuyu ni mtamu sana hutajuta kuununua
Hiyo ni changamoto kubwa kwakweli. Hasa baada ya kupata mteja mkubwa 'shilawadu' imekuwa shiiidaa order zinachelewa sana. Ila mimi bado sijakata tamaa, changamoto hizo nazivumilia tuu.
Ndio huo huo wa shilawadu. Wao wamefanya packaging mpya na kuweka label yao. Mimi nauza hivyo mtu anaweza akaufungua akafunga kwa package ndogo zaidi akauza kutegemeana na soko lake. Kwa upande wa mlaji ladha ni ileile.
Salaam kwenu wakuu!
Ninauza ubuyu wa Babu Issa toka znz. Ni ubuyu mtamu sana wenye pilipili vimto pamoja na vanila. Ambao wanaufahamu watashuhudia jinsi ulivyo mtamu.
Packet moja kama inavyoonekana hapo pichani ni sh 1,500 rejareja na sh 1,200 bei ya jumla kuanzia packet 30.
Napatikana...
Hiyo ni ktk kumrahisishia mteja ndio maana tunasema anapelekewa baada ya kuona samples na kuchagua inayomfaa.
Duka lipo k.koo. yeyote akitaka kufika dukani anipigie simu nitamuelekeza.
Nipo Dar es salaam kwa sasa. Viatu unaletewa popote ulipo hapa Dar es salaam ila mkoani tunatuma kwa basi ila nauli unalipia mwenyewe. Viatu ni kwa rejareja tuu hakuna bei ya jumla.
Habari wana jamvi!
Nauza viatu vizuri vya ngozi kwa ajili ya shule na hata mitoko mbalimbali(kwa wavulana) vya kike na kiume.
Ni viatu vilivyotengenezwa hapa hapa Tanzania na watanzania wenzetu. Ni pure leather viatu mkataba. Bei ni sh 40,000 kila pair.
Karibu tupate mahitaji yetu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.