Nimemaliza hela hapa Internet cafe. Nawashukuru sana mliotoa michango ya kujenga na ninawapongeza wale wadau wa section ya matusi. Na siku ingine pia. Tuendelee kujadili kwa hoja, tutafika tu. Tusitukanane kama hatuna akili. Baade wadau
Mimi nadhani mikataba yoote akipewa Tundu Lisu aisign ndio tutaamini. Ila hawa wengine ni wanasheria wezi. Tatizo sio mikataba, tatizo ni model nzima ya uwekezaji ndio hairuhusu adjustments. KUna wataalamu wazalendo kabisa wako mawizarani, ndio wanaandika hivi vitu. Tuwaungeni mikono na...
Hapa tunajadili hoja baada ya hoja hatuonyeshani ubabe hadi uanze kuniambia nifute jina langu. Futa lako, achana na langu. Mimi pia ningependa hayo hayo matumizi yasiyokua na lazima yakomeshwe mara moja kwa hiyo basi, kama Luhanjo na CAG wamekiri kwamba fedha kama hizo ni kawaida zitolewe, kumbe...
Nakubali kwamba mtaalamu lazima aweze kupredict nini kitatokea mbele ya safari. Ila ni vigumu sana kupredict nini kitatokea kwa hiyo cha kufanya ni kuacha "gap" for adjustments in case kitatokea chochote.
Hilo ndio pungufu kubwa na kwa bahati mbaya wawekezaji wote duniani hua hawalitaki. Sio...
Hata mikataba iliyoandikwa na wataalamu unayoitaja haina matatizo kama picha unayoichora. Bali ina-tatizo la kutokua inaendana na mabadiliko yanayotokea ki-uchumi na kisiasa. Hilo ndio tatizo. Kwa mfano mikataba iliyoandikwa mwaka 2001 ilikua safi kabisa enzi hizo, lakini kutokana na uchumi...
Nashukuru kwa matusi,, ila ni haki yangu kutoa maoni yangu. Ila kwa vile wachangiaji ni wengi, basi na mie nakuomba uendelee ku-skip mitazamo yangu kama ambavyo nimekua nikifanya kwenye ya-kwako
Kaka kwanza kuna-sababu nyingi zinazosababisha mwingine awe na-uwezo (pesa), mwingine nao kiasi na mwingine awe hana kabisa. Ukizifuatilia sababu zote utagundua hakuna jinsi, kila mtu kapewa vyake na muumba wake. Kwa hiyo hata kama wasingemshangilia, sidhani kama uwezo na vitu alivyonavyo...
Mkuu kuanzia leo nitakuheshimu sana. Una majibu ya ki-utu uzima. Asante. Ila hata hapo juu umekosea kutoa mtazamo kwamba wafanya kazi wa wizara ya nishati wamekosea kumpokea kwa shangwe boss wao. Sio vizuri jamani. Ni kweli nchi ina-taratibu zake na ndio tunatakiwa tuziheshimu. Hatutakiwi...
They are all social media,, hata facebook unaweza ukaweka habari kama hizi na watu wakajadili. Na unaweza kuandika jina lisilo lako pia kama hapa JF.so, it doent matter eloh..
ha ha ha... i am a heavyweight youngman, i dont love attention "seloh".. You want to be famous out of my arguments hah?!!..you are nothing but Kim Kardashian
Hujatoa hoja yoyote ya kujibu zaidi ya kuniuliza kama mimi ni riziki. Na teyari nimekupa ufafanuzi kwamba mimi ni riziki na kama unataka kuhakikisha basi tuwasiliane na tupange wapi tukutane ili uhakikishe mwenyewe. Nitalipa gharama za hoteli
Mie nimeamkia kuwaelimisha hao kina bishop.. waliokalia umbea umbea tuuuu kila siku wakati wana-wake nyumbani.. Sijui wanaume tunaelekea wapi, mambo ya wake zetu, yanafanywa na wanaume wenzetu. Nimeona wengine wameanza kuvaa suruari zinazobana. Tutafika tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.