Let's join kama Iko practical hata kwa kidogo ilimradi iwe friendly na mazingira na watu wetu Mimi huwa na interest ya kujaribu kitu kigeni kwa sababu ni fursa zenyewe
Hapana hamna hasara mkuu ni kwamba once umeme umekayika na mteja anafahamu umekatika na anajua it's not your fault hawana noma ila ikitokea umekatika maybe 24 hours huwa tunawapa vocha za kufidia muda ulipotea na wengi wako OK na hiyo kwao
Hiyo ni changamoto kubwa hasa kwa wadau waswahili njia pekee Bora ambayo Mimi nimejifunza ni kuwa na mikataba ya kisheria itakayo ruhusu kupata stahiki zako lakini kingine wewe kama mwenye wazo unawazo tyuu na utaweza kulifanya Bora kuliko mwingine
1. kuna kitu watu wengi huwa wanachanganya naomba nikueleweshe mkuu Starlink haji kufanya Hotspot business hata kidogo tena akija starlink kwa sisi tunaofanya Hotspot itakuwa neema zaidi kwakuwa tutaweza kuuza hadi vijijini naomba nikueleze hotspot kwa lugha rahisi kabisa najua unafahamu hili...
Jitahidi tu u some mkuu Kuna kitu utapata na kuelewa zaidi
Ila kiufupi biashara tayari imeshafanyika na Ina muda karibia wa miaka 2 lakini kwa udogo lengo la kutafuta muwekezaji ni kujitanua zaidi na kufika masoko mengi
Hivi ndio lengo la wazo lenyewe hapa mkuu umenipa conclusion ya nini kifanyike muwekezaji akishapatikana Mimi niliweka km utangulizi kujua nini kusudio inamaana anapotokea mtu wa kuhitaji kuwekeza inamaana lazima tufanye kitu legal kama ulivoshauri na hii kitu Mimi ndio msingi mana nilishakuwa...
unachokiwaza nisahihi kabisaa lakini kanuni ya maisha au mafanikio haiko hivo
kanuni halisi inasema hivi kama unataka kuanza haraka anzaa peke ako
kama unataka kufika mbali nenda na mwenzio
mimi nilianza mwenyewe nikaona fursa nikafanya inanipa faida lakini pia hiyo hiyo faida inanisaidia...
hivi vitu vipo lengo la kuandikwa uzi huu sio kukushawishi kwa maneno kukupa picha nini kinaenda kufanyika na kitafanyika vipi upo serius kwenye investment kuna meza ya mazungumzo kutembelea project kufanya analysis kisha muafaka unafikiwa mkuu hivo ndio biashara navo ona hufanyika
ni kitu kizuri na ndio maana tunasema kama ni invester unakaribishwa inafanyika survey tunakaa mezani yanafanyika makubaliano ya kimkataba na hata invester anaweza kujaribu kwa kuanza na kidogo kikimpa matokea anaweza kufanya zaidi lakini kila kitu hakiwezi kufanyika hapa thats why hii ni kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.