Asanteh chief kwa ufafanuzi mzuri watu hudhani ni rahisi kufanya kila kitu mwenyewe nikazi ngumu sana kwasababu unahitaji watu sahihi kwa kila project kitu ambacho ni adimu na nadra kupata 🙏
Hizo ndio fikra za kimasikini ulizonazo kila Moja angekuwa na mind set kama yako basi usingefahamu au kutumia product nyingi unazotumia Sasa
Nimetoa ufafanuzi rahisi na vithibisho na ku offa site visiting kama huamini Karibu ushuhudie
ikiwa Nina kampuni ya simu na kutengeneza simu nzuri basi haimaanishi nitumie Mimi mwenyewe hiyo ndio kanuni ya biashara lazima product iwafikie na wengine pia
najibu swali lako hapa Mimi Bado nafanya lakini sifanyi hii peke ake nafanya na nyingine nyingi tatizo nikuwa kila shughuli...
Hauhitaji vyote hivo unavyosema kwakuwa hii biashara hufanywa kwa muundo tofauti na biashara ulizozoea unaweza kutembelea kujionea ( mfano ni kama kusema tigo,Vodacom waweke ofisi katika kila mara )
huduma ipo tayari inafanya kazi hivo wateja wapi pia ndiomaana nikasema hutafuti wateja
nimeshaelezea huu mfumo unatumia vocha hivo kutakuwa na access ya wewe ku print vocha stationary na kuwapa mawakala waliopo kuendelea kuuza
wateja wananunua vocha hivo wanawalipa mawakala wewe hela...
hauhitaji hivo vyote kwakuwa ni antena zimefungwa kwa nyumba za watu hivo hakuna physical office kusema utahitaji leseni kwa Sasa fikiria ni kama kuweka antena za king'amuzi 11 katika nyumba 11 tofauti
Nina mfumo wa kusimamia na kuendesha biashara kwa wafanyabiashara,wajasiriamali,Winga na maafisa usafirishaji hivo unanihitaji muda nguvu na akili na siwezi kufanya vyote mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.