Recent content by NyegereBOY

  1. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Let's join kama Iko practical hata kwa kidogo ilimradi iwe friendly na mazingira na watu wetu Mimi huwa na interest ya kujaribu kitu kigeni kwa sababu ni fursa zenyewe
  2. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Hapana hamna hasara mkuu ni kwamba once umeme umekayika na mteja anafahamu umekatika na anajua it's not your fault hawana noma ila ikitokea umekatika maybe 24 hours huwa tunawapa vocha za kufidia muda ulipotea na wengi wako OK na hiyo kwao
  3. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    N Ni ku take risk tu kwani wazo lako umeshaanza kuzifanyia kazi ? Kama Bado Anza kulifanyia kidogo wadau watajitokezaga baadae
  4. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Hiyo ni changamoto kubwa hasa kwa wadau waswahili njia pekee Bora ambayo Mimi nimejifunza ni kuwa na mikataba ya kisheria itakayo ruhusu kupata stahiki zako lakini kingine wewe kama mwenye wazo unawazo tyuu na utaweza kulifanya Bora kuliko mwingine
  5. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    1. kuna kitu watu wengi huwa wanachanganya naomba nikueleweshe mkuu Starlink haji kufanya Hotspot business hata kidogo tena akija starlink kwa sisi tunaofanya Hotspot itakuwa neema zaidi kwakuwa tutaweza kuuza hadi vijijini naomba nikueleze hotspot kwa lugha rahisi kabisa najua unafahamu hili...
  6. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    That's all I want a business partner ambae yeye atakuja na fedha ila ujuzi mahalifa biashara ataikuta ila bank sio rahisi hivo mkuu
  7. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Jitahidi tu u some mkuu Kuna kitu utapata na kuelewa zaidi Ila kiufupi biashara tayari imeshafanyika na Ina muda karibia wa miaka 2 lakini kwa udogo lengo la kutafuta muwekezaji ni kujitanua zaidi na kufika masoko mengi
  8. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Hahahahahah Nusu yake ndugu muwekezaji ingependeza mana hatuendi kupata mateso tunaenda kupata hela mkuuu
  9. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Hivi ndio lengo la wazo lenyewe hapa mkuu umenipa conclusion ya nini kifanyike muwekezaji akishapatikana Mimi niliweka km utangulizi kujua nini kusudio inamaana anapotokea mtu wa kuhitaji kuwekeza inamaana lazima tufanye kitu legal kama ulivoshauri na hii kitu Mimi ndio msingi mana nilishakuwa...
  10. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    unachokiwaza nisahihi kabisaa lakini kanuni ya maisha au mafanikio haiko hivo kanuni halisi inasema hivi kama unataka kuanza haraka anzaa peke ako kama unataka kufika mbali nenda na mwenzio mimi nilianza mwenyewe nikaona fursa nikafanya inanipa faida lakini pia hiyo hiyo faida inanisaidia...
  11. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    huko ni home kabisa na saizi niko Msamala hapa nimekuja kula sikukuuu mkuu na soon naleta project songea pale sokokuu stand kisumapai kaka
  12. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    hivi vitu vipo lengo la kuandikwa uzi huu sio kukushawishi kwa maneno kukupa picha nini kinaenda kufanyika na kitafanyika vipi upo serius kwenye investment kuna meza ya mazungumzo kutembelea project kufanya analysis kisha muafaka unafikiwa mkuu hivo ndio biashara navo ona hufanyika
  13. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Yes hii ni sawa kabisa kwa yule mwenye hofu unaruhusiwa kujaribu ili kuona namna mradi mzima unavyoweza kuendesha asanteh mkuu kwa kuirahisisha zaidi
  14. NyegereBOY

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    ni kitu kizuri na ndio maana tunasema kama ni invester unakaribishwa inafanyika survey tunakaa mezani yanafanyika makubaliano ya kimkataba na hata invester anaweza kujaribu kwa kuanza na kidogo kikimpa matokea anaweza kufanya zaidi lakini kila kitu hakiwezi kufanyika hapa thats why hii ni kama...
Back
Top Bottom