Mimi ni mpenzi wa kilimo cha Bustani. Ninaomba kuuliza swali kuhusiana na upandaji wa miche ya mapapai. je ni ishara zipi zitaweza kunisaidia au kunipa mwanga kujua kati ya papai dume au jike wakati wa upandaji? . naomba msaada wenu.
Mimi binafsi nimetembelea kilimo cha green house kilichopo kijiji cha Nsola wilaya mpya ya Busega mkoani Simiyu. kilimo kina maendeleo mazuri sana. nawashaulini hata nyinyi mtembelee kilimo hicho mpate kujifunza. Wageni wengi wanatembelea hapo. Tupo pamoja kujenga nchi.
Halo Amazingone
Huo mtama kwenye picha una siku ngapi toka ulipopandwa?
sehemu gani nzuri kuuoteshea? ndani kwenye chumba chenye hewa au hata nje kivulini
natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.