Recent content by NYAQ

  1. NYAQ

    Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Just to make things clear na kupunguza maswali Kwa mtoa mada,soma hapa Asili ya Majini Majini wanatajwa sana katika Qur’an na Hadithi za Mtume Muhammad (SAW). Kulingana na Uislamu: Majini waliumbwa kwa moto usio na moshi: "Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo wa joto." — Qur’an 15:27...
  2. NYAQ

    Je, Vita nje ya Afrika ni laana ya Ukoloni na Uonevu uliofanywa Afrika?

    Katika zama hizi za migogoro, vita, na machafuko yanayotokea nje ya Afrika — kutoka Mashariki ya Kati, Ulaya Mashariki hadi Asia — swali linajitokeza: Historia haifi — inarudi kama kivuli Wakati mataifa ya Afrika yaliponyonywa na kutawaliwa, yale mataifa ya kigeni yaliyofaidika na uonevu huo...
  3. NYAQ

    Kitu gani kilichosababisha kuwepo na binadamu wenye rangi tofauti tofauti?

    Wataalamu wengi wa kisayansi duniani (wakiwemo Wazungu, Waarabu, Wahindi n.k.) wanakubaliana kuwa binadamu wa kwanza walikuwa na asili ya Kiafrika na walikuwa weusi. Lakini watu wa kawaida kutoka jamii hizo wote hawakubaliani kwa urahisi – kwa sababu ya: I1.mani za kifahari Ubaguzi wa rangi...
  4. NYAQ

    Kitu gani kilichosababisha kuwepo na binadamu wenye rangi tofauti tofauti?

    Unanifanya nipoteze muda wangu mwingi kukupa hints. Binadamu Wote Walikuwa Weusi Mwanzoni Kwa udhibitisho huu. 1Kwa mujibu wa sayansi ya DNA, historia, na fossils (mabaki ya kale), binadamu wa kwanza kabisa walitokea Afrika ya Mashariki – hasa maeneo ya Ethiopia, Kenya, na Tanzania. Mababu...
  5. NYAQ

    Kitu gani kilichosababisha kuwepo na binadamu wenye rangi tofauti tofauti?

    Rangi ya ngozi ni urithi unaopitishwa kizazi hadi kizazi. Maelfu ya miaka iliyopita, binadamu wote walikuwa weusi (kutoka Afrika). Waliotawanyika kwenda Ulaya, Asia, na maeneo mengine walipitia mabadiliko ya kijeni (genetic mutations) kwa ajili ya kuendana na mazingira yao mapya. Ndiyo maana...
  6. NYAQ

    Je, Wasaidizi wa Rais Samia Ni Washauri au Wasifiaji Tu?"

    Katika historia ya nchi yetu, viongozi wengi wa juu wamekuwa wakitegemea sana ushauri wa watu wa karibu — wasaidizi wao wa kisiasa, wataalamu, na washauri wa kila aina. Ushauri huu unapaswa kuwa dira ya kiongozi kuelekea kwenye maamuzi bora kwa taifa. Lakini swali kubwa linabaki: Je, wasaidizi...
  7. NYAQ

    Kabla Hatujachelewa: Neno Langu kwa Serikali, Upinzani na Watanzania wote

    Tanzania imejengwa juu ya misingi thabiti ya amani, umoja, na mshikamano. Hii ndiyo sababu leo tunasafiri, tunasoma, tunafanya biashara, na tunaishi bila hofu ya vita wala machafuko – tofauti na mataifa mengine yanayoishi kwenye taharuki ya kila siku. Lakini katika kipindi hiki cha mvutano wa...
  8. NYAQ

    Mbona kama Mikopo ya Mtandaoni inaendelea licha ya BOT kukataza?

    Acha ujinga...tumia akili yako vzur
  9. NYAQ

    Mbona kama Mikopo ya Mtandaoni inaendelea licha ya BOT kukataza?

    BOT walitoa tamko kutoitambua baadhi ya kampuni za mikopo online,nakuelekeza ziache operations zake. Mbona bado zinafanya kazi na msg bado zinatumwa Kwa watu? Hii inamaanisha nini wakuu? PIA SOMA - BoT yakataza rasmi kampuni za mikopo mitandaoni kuchukua mawasiliano ya wateja ili...
  10. NYAQ

    Kwanini hii Teua Tengua haikuwepo kwa akina Nyerere, Mwinyi, Mkapa na hata Kikwete, ila kwa Magufuli ilikuwepo na sasa kwa Samia ndiyo imeshazoeleka?

    Afu wanao teuliwa ni circle ileile,hakuna sura mpya toka mtaani uradhan hakuna watu wengine wenye sifa. Wanatengua afu wanateuwa hao hao. Bure kabisa
  11. NYAQ

    Kununua shati Kariakoo kidogo nigeuzwe mwizi

    Duuuu... ntakuwa siendi kariakoo
  12. NYAQ

    Mjue Judith Mhina, mwanamama aliyetaka kuinunua Vingunguti na Buguruni Mnyamani kabla hajazuiwa na Hayati Magufuli

    Daaah magu asingemzuia huyu mama,saiv na mimi ningekuwa na kina chief godlove na Chimakeke mtandaoni tunawaambia tokeni magetoni mkatafute hela
  13. NYAQ

    Saalah (Silent Ocean): Anavyotakatisha na kutorosha pesa nchini, Uhujumu Uchumi, Kuteka na Kutesa watu, anavyolindwa na viongozi

    Poleni sana[emoji1787]ila iyo chenchi yenu sahau kabisa[emoji23]sio kwa serikali hii
Back
Top Bottom