CONNECTION.. CONNECTION.. CONNECTION..
Mwshoni mwa mwaka jana Uhamiaji walitoa nafasi za kujiunga na jeshi lao.. Nikatazama “Magamba” yngu nkasema kw sifa wanazotaka ni mara mbili ya “magamba” yngu, Basi nikaaply na km nlvyojizatiti kwl jina langu lkatokea kwny usaili.
Mm n Mkristo...
Akimaliza anapanda ndege kwenda Paris France ama India.. Matukio ya majanga kibao kayapa kisogo wala hajatokea lkn kula kodi zetu kulipana posho na kuimba Am single.. INASIKITISHA SANA KUWA NA RAIS KM SAA MIA
Kulaani Kulaani kulaaani.. Hatukubaliani hatukubaliani hatukubaliani.. Mchochezi mchochezi mchochezi.. Anatukana anatukana anatukana.. Yani ni lopolopo tupu hakuna anaejibu hoja hata mmoja. Mwenyezi Mungu kwanini umetuumba nchi hii tuongozwe na wafia tumbo. Why God WHYYYYY
Mtu aliyepigwa risasi zaidi ya 20+ na Mungu akamlinda leo anatembea na kusimama tena UTAMLAANIA WAPI
Mtu anaetuambia yale tusoyajua kuhusu nchi yetu tena kwa Data zilizonyooka TUNAACHA VIPI KWENDA KUMSKILIZA
Nape na wenzako kwanini msimshauri Rais akawatoe Wapemba na Waunguja pale Stone Town...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.