Recent content by Nyanzige30

  1. N

    Sheria kuu 5 kwa mwanaume

    Io namba mbili iwekewe flem kisha ipandikwe kwny kla taasisi hosptal kanisan misikitin vtuo vya mabasi na kla pahali. Nna historia nayo nikiwasmulia hapa mtabak midomo waz
  2. N

    Mfumo wa ajira nchini umeshindikana, bila connection hutoboi!

    CONNECTION.. CONNECTION.. CONNECTION.. Mwshoni mwa mwaka jana Uhamiaji walitoa nafasi za kujiunga na jeshi lao.. Nikatazama “Magamba” yngu nkasema kw sifa wanazotaka ni mara mbili ya “magamba” yngu, Basi nikaaply na km nlvyojizatiti kwl jina langu lkatokea kwny usaili. Mm n Mkristo...
  3. N

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Hawa jamaa soon wanarudi kukomba raia wengine
  4. N

    Rais Samia ashiriki uzinduzi wa Album ya Harmonize Ukumbi wa Mlimani City, leo Mei 25, 2024

    Akimaliza anapanda ndege kwenda Paris France ama India.. Matukio ya majanga kibao kayapa kisogo wala hajatokea lkn kula kodi zetu kulipana posho na kuimba Am single.. INASIKITISHA SANA KUWA NA RAIS KM SAA MIA
  5. N

    Kesho ni mbaya sana

    Una ugomvi na mke wangu ww sio bure
  6. N

    Anashindwaje kutoka hadharani na kuisafisha hali ya hewa? Amekubali yaishe?

    Hapo kwny nafasi za majeshi usiombe uombe na Mzanzbar hata uwe na vgezo hutoboi mbele yake yani wao wamepewa kipaumbele kuliko
  7. N

    Lissu apuuzwe au achukuliwe hatua za kisheria?!!!

    Mkishalipwa mna kelele mingi.. Lissu ni mpango wa Mungu mjibuni hoja zake msirukie rukie huruma zetu
  8. N

    Vyama 11 vya Siasa vyalaani kauli za Tundu Lissu

    Kulaani Kulaani kulaaani.. Hatukubaliani hatukubaliani hatukubaliani.. Mchochezi mchochezi mchochezi.. Anatukana anatukana anatukana.. Yani ni lopolopo tupu hakuna anaejibu hoja hata mmoja. Mwenyezi Mungu kwanini umetuumba nchi hii tuongozwe na wafia tumbo. Why God WHYYYYY
  9. N

    DOKEZO Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Hv uhamiaji mwaka huu hakuna walirudishwa nyumbani kwa unfit?
  10. N

    Tundu Lissu: Kuna biashara haramu ya utoaji wa vibali vya uagizaji wa Sukari nchini. Siku nikitaja majina mtashangaa

    Mwenyezi Mungu ampe umri mrefu huyu mtu. Amlinde kwa ajili ya vizazi na vizazi
  11. N

    Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

    Mtu aliyepigwa risasi zaidi ya 20+ na Mungu akamlinda leo anatembea na kusimama tena UTAMLAANIA WAPI Mtu anaetuambia yale tusoyajua kuhusu nchi yetu tena kwa Data zilizonyooka TUNAACHA VIPI KWENDA KUMSKILIZA Nape na wenzako kwanini msimshauri Rais akawatoe Wapemba na Waunguja pale Stone Town...
  12. N

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    KUMEKUCHA HUKO UT
  13. N

    Usaili Jeshi la Magereza na Uhamiaji

    Sina uhakka sana lkn lonja nililonalo wiki hii ndo wamechukua vpmo na majibu bado mpk wiki ijayo nadhan na kozi ndo itaanza baada ya majibu
  14. N

    Sioni haja ya kwenda chuo

    Nipo tu kitaa bro napiga “deiwaka”
  15. N

    Sioni haja ya kwenda chuo

    Jeshi lolote la nchi hii km huna mbuyu/mbanga/connection hutoboi
Back
Top Bottom