Recent content by Nyanzige30

  1. N

    Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Hya vjana karbuni Dodoma kwny usaili usimdharau yyte utakaemkuta kavaa sare za UT
  2. N

    Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Mi tyr nnao mkeka nashindwa jinsi ya kuuweka hapa
  3. N

    Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Usaili trh 6 Inshallah km lonja halitochange
  4. N

    Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Kaka nimesema kesho.. means leo sa 6 usiku! Angalia io post nimeijibu jana
  5. N

    Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Kesho 6 usiku mzgo utakuwa hewani
  6. N

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mm kw uelewa wngu hakuna Awamu ya pili.. Isipokuwa wiki ya 3 baada ya watu kuripoti wanafanyiwa vpmo wale unfit plus wale ambao hawa kuripoti nafas zao znajazwa na hapo ndo “Dingi kanisend” Mara nyingi wanapata nafasi na wale wenye mbanga za uhakka!! LKN KM ULIFANYA USAILI BADO USIKAE MBALI NA...
  7. N

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Ndio mkuu, plus baba kansend
  8. N

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Assalam Alleykum Bogi la kwanza wataripoti 27/09/2024.. Hizi ni habari za uhakika kabisa so anyday kuanzia leo kesho PDF litatoka na wakuu washalibariki. Bogi la pili litakuwa 04/11/2024 na Bogi la tatu ni 10/02/2025 (hizi nafasi zitatangazwa mwshoni mwa mwaka huu) wa UT nao jiandaeni mwezi...
  9. N

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Yani nafasi 3000, afu baba kanisend 2000! So baba kanisend zinafanana kbisa na nafasi za kugombaniana?
  10. N

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Watu wengi sana wataenda
  11. N

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Kwn wakuu kufunga kozi n tofauti na kumaliza kozi? Mana nasikia wanafunga kozi wanaenda pori hapo ndo sijaelewa Kwnn wafunge kozi na waende tena pori
  12. N

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Watu walisema hapa jamaa angu alietoa mpunga kapigiwa Mara ooh bora angefanya biashara.. Wakuu Haya mambo bila mbanga/Mbuyu hutoboi. MKONO MTUPU HAULAMBWI
Back
Top Bottom