Mm kw uelewa wngu hakuna Awamu ya pili.. Isipokuwa wiki ya 3 baada ya watu kuripoti wanafanyiwa vpmo wale unfit plus wale ambao hawa kuripoti nafas zao znajazwa na hapo ndo “Dingi kanisend” Mara nyingi wanapata nafasi na wale wenye mbanga za uhakka!!
LKN KM ULIFANYA USAILI BADO USIKAE MBALI NA...
Assalam Alleykum
Bogi la kwanza wataripoti 27/09/2024.. Hizi ni habari za uhakika kabisa so anyday kuanzia leo kesho PDF litatoka na wakuu washalibariki.
Bogi la pili litakuwa 04/11/2024 na Bogi la tatu ni 10/02/2025 (hizi nafasi zitatangazwa mwshoni mwa mwaka huu) wa UT nao jiandaeni mwezi...
Watu walisema hapa jamaa angu alietoa mpunga kapigiwa Mara ooh bora angefanya biashara.. Wakuu Haya mambo bila mbanga/Mbuyu hutoboi. MKONO MTUPU HAULAMBWI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.