Recent content by Nyankurungu2020

  1. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM raia wa hali ya chini walifurahia na kuona taifa lao limepata mkombizi. Sasa hivi wanaona taifa wanapigwa na wahuni

    Tumia common sense hata kidogo. Unapodhibiti ufisadi na kudhibiti nidhamu ya watumishi wa umma ni wazi kuwa umepambania raia wa hali ya chini ambao ni majority.
  2. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM raia wa hali ya chini walifurahia na kuona taifa lao limepata mkombizi. Sasa hivi wanaona taifa wanapigwa na wahuni

    Hili halina ubishi ndio maana alipata sapoti kubwa kutoka kwa wanannchi wa hali ya chini na wapigani na wahuni walimchukia hayati JPM Leo hii kumekuwa na tabaka la wanafaidi keki ya taifa huku masikini wakizidi kuumia. Wananchi wanyonge kila kona ya Tanzania wanamkumbuka shujaa hayati Magufuli.
  3. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Mwandishi Khalifa Said: Tupo kwenye kipindi kibaya sana kwa sasa zaidi ilivyokuwa wakati wa Magufuli

    Waandishi wanahali ngumu. Wanafanya kazi kwa hofu.👇
  4. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wote mliofurahia kifo cha hayati JPM leo hii mnaona aibu namna taifa letu linavyopelekwa. Mpo humu jukwaani na mnaona aibu

    Mlibeza kazi nzuri aliyokuwa akiifanya hayati JPM. Mlibeza na kudai ni maendeleo ya vitu. Leo hii mnaona aibu namna taifa letu linavyopelekwa. Hakuna cha maana kinachofanyika. Hata mradi wa Sgr imebaki stori.
  5. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao. Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr ingekuwa imeshakamilika.
  6. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Legacy ya hayati JPM ni kwa Afrika nzima alikiwa mfano wa kuigwa kwa ajili ya Afrika. Angekuwepo taifa letu lisingepata mpasuko kama huu

    Nidhamu ya watumishi wa umma iliimalika. Wakafanya kazi kwa uadilifu na uzembe ukadhibitiwa. Wezi mali za umma kupitia miradi ya umma wakadhibitiwa. Mataifa yote ya Afrika yakatamani yawe na rais kama hayati JPM. Leo hii taifa letu lina mpasuko mkubwa. Ufisadi na nepotism linatajwa kuwa...
  7. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM usalama wa taifa ilikuwa idara makini. Taarifa zilitoka kwa wananchi. Ndio maana hayati JPM alifanya kazi kwa ufanisi

    Pumbavu huna akili. Najua hata sasa hivi una shanga kiuononi. Fala na msenge mkubwa.
  8. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM usalama wa taifa ilikuwa idara makini. Taarifa zilitoka kwa wananchi. Ndio maana hayati JPM alifanya kazi kwa ufanisi

    Kupendana huku watu wakijichotea pesa kupitia Escrow, Kagoda na Richmond huku masikini wakifa kibudu. Kuwa na aibu basi. Nyie ndio huwa mnaruhusu ushoga ili mpate hela ya kula watoto wenu wakifirwa.
  9. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM usalama wa taifa ilikuwa idara makini. Taarifa zilitoka kwa wananchi. Ndio maana hayati JPM alifanya kazi kwa ufanisi

    Shetani? Angekubalika dunia nzima kwa kudhibiti ufisadi na kulinda rasilimali za taifa? Mpaka leo inasadikika aliuliwa na wanaCCM mafisadi.
  10. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM usalama wa taifa ilikuwa idara makini. Taarifa zilitoka kwa wananchi. Ndio maana hayati JPM alifanya kazi kwa ufanisi

    Una matatizo sana we bwa mdogo nakujua vizuri. Umejaa chuki dhidi ya hayati JPM.
  11. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM usalama wa taifa ilikuwa idara makini. Taarifa zilitoka kwa wananchi. Ndio maana hayati JPM alifanya kazi kwa ufanisi

    Young boy Tindo jikite kwenye mada hasa namna serikali ilivyodhibiti ufisadi. Kiasi cha miradi mkakati kutekelezwa kwa maendeleo ya taifa.
Back
Top Bottom