Kuna tetesi nimezisikia nikiwa maeneo ya Kisutu kwenye kijiwe kimoja ambacho huwa wanakaa wazee wenye habari nyeti.
Kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM.
Mama hakubaliki na wanaCCM zaidi ya 70%. Inasadikiwa watakinukisha soon juu ya vifo vya hawa viongozi. Sababu inasadikiwa ilikuwa ni mpango...
WanaCCM mtandao ambao walishaligeuza taifa letu shamba la bibi watazidiwa nguvu.
Wazalendo wa kweli watashinda. Mtifuano huu unakwenda kuliponya taifa letu.
Nyerere aliacha kuangalia maendeleo ya taifa lake. Akabaki kupigana vita Msumbiji , Afrika kusini Zimbabwe N.k
Magufuli akafunga mkanda bwawa limejengwa na leo hii linakwenda kuzalisha Mw 2115.
Mwinyi, Mkapa na Kikwete hawakuweza hata kidogo. Hili bwawa linapaswa kuitwa MHJPP.
We unajibu mada kwa kuwa na chuki na mtu. Ishu ya sukari zilikuwa njama za mafisadi na alidhibiti. Ulitaka Dongete awekeze kibwege kama ilivyofanyika Bulyanhulu?
Kanda ya ziwa Victoria inafanyiwa harassment ya kisiasa sana.
Maisha yapo juu hususani bei ya cement. Kwa miaka nenda rudi bei ya cement ni tatizk kubwa kanda ya ziwa. Leo hii imefikia Tsh 28000/=
Hii yote ni kwa sababu gharama za usafirishaji kwa kutumia malori ni kubwa ndio maana bei ni...
Nataka kujua umuhimu wa hili tamasha kwa Watanganyika ambao hadi leo taifa lao limepotezwa.
Hawana uhakika wa maji salama, barabara ni tatizo kubwa vijijini na mijini.
Watanganyika wapo zaidi ya mil 60. Ndio wanaolipa kodi na kuendesha maisha ya Wazanzibari mil 1+
Tamasha kama hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.