Tumia common sense hata kidogo. Unapodhibiti ufisadi na kudhibiti nidhamu ya watumishi wa umma ni wazi kuwa umepambania raia wa hali ya chini ambao ni majority.
Hili halina ubishi ndio maana alipata sapoti kubwa kutoka kwa wanannchi wa hali ya chini na wapigani na wahuni walimchukia hayati JPM
Leo hii kumekuwa na tabaka la wanafaidi keki ya taifa huku masikini wakizidi kuumia.
Wananchi wanyonge kila kona ya Tanzania wanamkumbuka shujaa hayati Magufuli.
Mlibeza kazi nzuri aliyokuwa akiifanya hayati JPM. Mlibeza na kudai ni maendeleo ya vitu.
Leo hii mnaona aibu namna taifa letu linavyopelekwa. Hakuna cha maana kinachofanyika.
Hata mradi wa Sgr imebaki stori.
Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao.
Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr ingekuwa imeshakamilika.
Nidhamu ya watumishi wa umma iliimalika. Wakafanya kazi kwa uadilifu na uzembe ukadhibitiwa.
Wezi mali za umma kupitia miradi ya umma wakadhibitiwa.
Mataifa yote ya Afrika yakatamani yawe na rais kama hayati JPM.
Leo hii taifa letu lina mpasuko mkubwa. Ufisadi na nepotism linatajwa kuwa...
Kupendana huku watu wakijichotea pesa kupitia Escrow, Kagoda na Richmond huku masikini wakifa kibudu. Kuwa na aibu basi. Nyie ndio huwa mnaruhusu ushoga ili mpate hela ya kula watoto wenu wakifirwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.