Daah mkuu imeniuma sana huyu jamaa, nimesoma hii thread mpaka nikaone bora nikupe pole kwa kupambana kuelekeza wajinga. Huyu jamaa sijui yuko dunia ipi, ni si maskini wa pesa tu, bali kinginecho hakijui, na hajui kama hajui. Ndiyo namna wa Tz tunapenda kuishi, kakuzwa na kikalilishwa mambo...
Mkuu, binafsi nataka kutinga kwenye hiki kilimo, japo sijapata taarifa zaidi kuhusu njombe. Nataka kulima Arusha, labda kama kuna wadau wanajua zaidi kuhusu hii mishe kwa pande za njombe tunaomba msaada watujuze tujifunze zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.