Kuna Mungu kabla ya Dini. Tusibaguane. Moja ya changamoto ambayo ukiiangalia kama haina mashiko makubwa lakini ni moja ya vitu ambavyo watu wanakumbana navyo katika nyanja mbali mbali katika maisha ya kila siku.
Hasahasa pale linapokuja suala la ajira iwe binafsi au serikalini. Najua kwenye...
sio sawa.Unajua katika Nchi yetu kuna watu au kazi ambazo hawatiliwi maanani kabisa kama Ualimu na daktari yaan Elimu na Afya,wanazichukulia ize ize saana.
Kweli hii haipo sawa.Kama kuna suala la kimakosa kafanya,apewe.kwanza huduma huku mambo ya uchunguzi yanafuata kama akionekana na makosa si basi akitibiwa atawajibika.Lakini utakuta Daktari anakazia yaan mpka inakuwa kero.So sad wabadilike kwenye hili suala
Na hili ndilo nalojaribu kuliangalia.Maana utakuta mtu kaja may be na mzazi au ndgu pale wanajaribu kumtolea maelezo lakini bado mtu haeleweki unaambiwa hautibiwi mpka Pf3😓 So sad,Inaghalimu maisha ya mtu kwa kitu ambacho sizani kama kina umuhimu saanaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.