Mwaka 2017 alikuwa na Total ya walimu 200 sekondari na 100 Primary na Supporting staff Zaidi ya 100.. average mwl wa sekondari 1.5 lakini kulikuwa na mishahara mpka 4M pm.
. alibeba kila Mwalimu mzuri aliyekuwa anaambiwa yupo Dar au ata mkoani. Mishahara zaidi ya milioni 500 kwa mwezi ilifanya...
Mzee kasome vizuri hii ni Ya Sept 2024 judgement na mpaka inakuja Tayari amefanya default tena Na Ukipitia nimetoa majibu..Issue ya mnada ni suala ambalo lipo Na ata alijaribu kuuza shule Kwa Global Education Link mwaka Jana ila malick akachomoa baada ya kuona Status ya madeni..kuna kesi zipo...
Nimepata kutoka chanzo sahihi sana ..kuna vita kubwa sana ndani ya familia na mengi tutayajua..kuna Walimu walifanyiwa matendo mabaya sana wakati wa corona nadhani maombi yao yameanza kujibu...sisi wengine ni vijumbe tu
Hapo wote ndio mnapokosea..Matatizo yalianzia baada ya corona alipogoma kulipa Walimu na Walimu karibu 20 waliondoka na kesi nyingi mahakamani.....Na ile Hali ikaendelea mwaka unafuata Walimu wengi waliondolewa baada ya kulipwa hela za Corona za miezi miwili Na ndipo anguko likaanza...
Hizi first class schools chakula wana outsource na ndio maana ukiwa na shule hizi alafu misosi ya hovyo unakimbiwa....Shule kupoteza wanafunzi 3000 ndani ya miaka 4 ni hatari sana.. Angalia Green Acres, esacs,St Mathew, St Marys ..hizi zote zimepitia majanga makubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.