Mpeleke kwa Dr mwingine bingwa wa wanawake mtapewa dawa ya kuzuia hiyo threatening abortion inaitwa duphaston. Mkipewa atumie kikamilifu, pia asifanye kazi za kuinama mara kwa mara au kunyanyua vitu vizito, apate muda mwingi wa kupumzika.
Msifanye sex kwa sasa hadi hali iwe shwari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.