Recent content by nyak's

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mwenza wangu anasumbuliwa na kutoka damu kipindi cha ujauzito

    Mpeleke kwa Dr mwingine bingwa wa wanawake mtapewa dawa ya kuzuia hiyo threatening abortion inaitwa duphaston. Mkipewa atumie kikamilifu, pia asifanye kazi za kuinama mara kwa mara au kunyanyua vitu vizito, apate muda mwingi wa kupumzika. Msifanye sex kwa sasa hadi hali iwe shwari
  2. N

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi, nitafute goli Kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo

    Nataka sana ngoja nikaze moyo
  3. N

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi, nitafute goli Kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo

    Shukrani, tatizo ratiba ya kazi ni ngumu haiwezekani kufanya vyote kwa pamoja
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi, nitafute goli Kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo

    Asante sana mkuu wacha nipambane
  5. N

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi, nitafute goli Kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo

    Asante kiongozi, Bima ni muhimu sana hasa nchi zetu hizi maradhi kila kukicha
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi, nitafute goli Kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo

    Gap kibiashara lipo kwakweli
  7. N

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi, nitafute goli Kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo

    Inazidi boss pamoja na hali ngumu lakini faida kwa sasa ni mara 1.5 au 2 ya mshahara
  8. N

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi, nitafute goli Kariakoo niendeleze biashara hii hii ya nguo

    Nimekuelewa mkuu, ni hizi sauti mbili kichwani ndiyo zinaniweka njia panda. Shukrani
Back
Top Bottom