kwa jinsi nilivyokusoma nahisi ww ni mwanaume na una tabia ya kutoka na wanaume wenzio na ndio maana unadhani kila mtu yukokama ww, nimekueleza mm mtoa mada ni ke sasa ambacho huamini ni nn?
wewe wasema kwa vile haijakutokea, for sure huwezi kujuanaumia kwa kiasi gani, ila najua ipo siku haya machozi yote yataisha, and i know time heals so ikishindikana as time goes i wl be okay
Ukiambiwa itakusaidia nn? mawazo yako tu ndio yanahitajika na nimeshaeleza incidence ilivyokuwa so Sidhani kama kuna ulazima wa ww kutaka kuifahamu hyo ID na ndio uchangie mada.
hapo ndio tunaposhindwa kuelewana, nimeeleza kuwa nilijaribu kuingia kwny ile ID yangu ya zamani iliyoleta kash kash nilishindwa kwani niliambiwa invalid id or pass so nikafuata procedure na nikatumiwa new pass kwny email yangu na nikaitumia hyo kuingia tena kwny ile ID ikagoma so nikaamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.