Recent content by nwankoe

  1. N

    Israel inalindwa sababu ni mtego wetu Waafrika

    Hivi waafrica hatuna baraka au imekaaje. Nchi yangu Tz mpka sasa karatasi na sindano tunaagiza toka China/India. Hivi Africa tuna nini?
  2. N

    Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

    Ilimchukua Irani wiki 2 kujibu kipigo cha Israel kule Syrian ambako makamanda wa Iran walikufa. Kwahiyo ni mapema sn kujua Israel atashambulia lini kujibu mapigo
  3. N

    Natenyahu akubaliana na kilichopo mezani

    Acha kufurahia vita,ombeaamani
  4. N

    Iran inaripotiwa kupanga kushambulia Israel kwa kutumia ndege zisizo na rubani

    Kafara zinaendelea kutolewa,,naina damu ya waukraine inamwagika NATO idumu,,,DAMU ya waGaza na WaIrani itamwagika ili Israel idumu.
  5. N

    Russia imeiambia Israel iondoke Golan kabla hawaingia vitani kuwafurusha

    Vita haipiganwi kwa maneno,,waingize mguu waone mziki
  6. N

    Sitaki nataka, Natenyahu arejea mezani

    Hiyo ni delay tactic
  7. N

    Kwaheri Ndalichako, karibu Jimboni

    Umeongea mengi sana lakini nguvu yao iko kwenye "mwanya" wa katiba!
  8. N

    USA yatoa maelfu ya mabomu yatakayotumika kufumua Rafah

    Yamewarudia puani. Waliua 1200 wameuliwa elf 33. Bado kuhesabu waliofunikwa na vifusi
  9. N

    Netanyahu aweweseka wakati akiwadanganya wajumbe wa Congress

    Hakuna kitu hapo naona mwandishi mihemuko. Huwexi zima moto kwa 80% kisha uache 20% unawaka useme eti uko salama. Israel yapaswa kuingia Rafah imalize kazi. Ni jukumu LA Jordan kufungua mipaka ili wanawake na watoto wakajihifadhi huko,wanaume waendelee kunyukana mpaka mtanange ueleweke!
  10. N

    Kuna haja gani ya muungano polisi kukamata wakristo huko Zanzibari wanaokula mchana?

    Hivi wakikuona unakula ndiyo kusema na wao watakutamani!? Mimi kama nimenuia kufunga siwezi Kutamani kula kisa eti nimeona watu wanakula. Swaum ni ibada bwana.
  11. N

    Video: Gaidi la Jihad lalaumu shetani kwa kulifanya livamie Israel na kubaka mwanamke kwa dakika moja

    Mkakati wa Israel ni mwarabu kuondoka Gaza(atake auasitake),, then makazi ya walowezi yajengwe na gas ianze kuvunwa. Hamas walipaswa kuwa na akili kubwa,mabavu sikuizi cyo njia sahihi ya kumshinda adui. Aljazeera media wanajaribu kuonyesha madhira wanayoyapitia wafilistine but who cares? Hata...
  12. N

    Mwandishi wa habari wa Aljazeera ambaye pia ni gaidi la HAMAS

    Ndiyo maana wanachinjwa kama kuku
  13. N

    Israel maji ya shingo yakiri bila msaada wa Marekani haiwezi kushinda vita dhidi ya Hamas

    Ukiisoma hiyo report utaona uungwaji mkono unaozungumzwa siyo juu ya silaha,ni kidiplomasia hasa kwenye majukwaa ya UN. Tarifa imechamua vzr sn jinsi uwezo wa Hamas umethhofu kiasi kwamba imewaacha baadhi ya wapiganaji wake waliosalia wakirandaranda kama digidigo!
Back
Top Bottom