Uwezo wa hamas,Hizbullah na ,Iran umeporomoka sn kuweza kuisumbua Israel. Pis anguko la Assad ni kutokana na athari za vita vya Gaza. Israel imeweza kudhoofisha maadui na kuwafanya wafikirie upya jinsi gani ya kupambana na mayahudi. Mwisho kabisa,Nada ya vita viongozi wengi wajuu wa hizbullah na...
Kosa haikuwa kujiondoa kwake,naona kosa lake ilikuwa kujiondoa na kumpdekeza MTU. Angeondoka tu then chams kikaamua kunzisha mchakato wa kumpata mkimbiza mwenge mwingine aliyekuwa bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.