Ilimchukua Irani wiki 2 kujibu kipigo cha Israel kule Syrian ambako makamanda wa Iran walikufa. Kwahiyo ni mapema sn kujua Israel atashambulia lini kujibu mapigo
Hakuna kitu hapo naona mwandishi mihemuko. Huwexi zima moto kwa 80% kisha uache 20% unawaka useme eti uko salama. Israel yapaswa kuingia Rafah imalize kazi. Ni jukumu LA Jordan kufungua mipaka ili wanawake na watoto wakajihifadhi huko,wanaume waendelee kunyukana mpaka mtanange ueleweke!
Hivi wakikuona unakula ndiyo kusema na wao watakutamani!? Mimi kama nimenuia kufunga siwezi Kutamani kula kisa eti nimeona watu wanakula. Swaum ni ibada bwana.
Mkakati wa Israel ni mwarabu kuondoka Gaza(atake auasitake),, then makazi ya walowezi yajengwe na gas ianze kuvunwa. Hamas walipaswa kuwa na akili kubwa,mabavu sikuizi cyo njia sahihi ya kumshinda adui. Aljazeera media wanajaribu kuonyesha madhira wanayoyapitia wafilistine but who cares? Hata...
Ukiisoma hiyo report utaona uungwaji mkono unaozungumzwa siyo juu ya silaha,ni kidiplomasia hasa kwenye majukwaa ya UN. Tarifa imechamua vzr sn jinsi uwezo wa Hamas umethhofu kiasi kwamba imewaacha baadhi ya wapiganaji wake waliosalia wakirandaranda kama digidigo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.