Recent content by Nundu_Tanzania

  1. N

    God's Conscience vs Free Will: Je, Mungu anajua hatima ya wanadamu itakuwaje?

    Mungu amemuumba mtu na free will kwa lengo la kumwonyesha ukweli wa mambo ulivyo au utakavyokuwa katika hayo mambo anayochagua au atakayochagua. Uchaguzi wetu ndio hatima yetu. Kama tunachagua ubaya kwa mfano, hivyo ndivyo hatima yetu inakuwa. Lakini Mungu anaweza kuingilia. Kila kitu...
  2. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Kwenye moja ya maelezo yangu nilikuuliza hivi: una jua kazi ya sayansi au kwa maneno mengine, sayansi inashughulika na nini. Na hapa nitaka kukuliza, Je! Unajua imani inashughulika na nini?
  3. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    You are a kind of such person who can't understand which is which. I wanted you to define both subconscious mind and unconscious mind but you defined one, unconscious mind. This imply that you have something wrong in your understanding.
  4. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Hili ni suala la kuchukua tahadhari wala sio suala la kuwa na imani. Unaweza kuniambia kwenye hali hii wanatarajia hatima gani?
  5. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Naomba upitie maneno hayo: "unconscious" na "subconscious " halafu ndio uandike. Sababu ni kama hujui nini unaelewa katika hayo mambo
  6. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Kadiri asilimia zinavyokuwa kubwa katika jambo fulani, katika msingi wa sayansi ndivyo nafasi ya kutokea kwa jambo hilo inakuwa kubwa. Lakini hali hiyo haihalalishi kuwa ndivyo mambo yatakavyo kuwa. Kwa hiyo kama unafahamu kazi ya sayansi usingeuliza jambo hilo.
  7. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Unafahamu kazi ya sayansi? Mtu anayepata taarifa kutoka kwenye mamlaka fulani kwamba kuna jambo fulani huenda likatokea, anachukua tahadhari.
  8. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Kuna ufahamu wa kawaida (Reasoning) na kuna ufahamu wa kina ( subconscious mind). Huu ufahamu wa kina ndio unawasiliana na infinite intelligence. Kwa hiyo imani ndio njia inayowezesha ufahamu wa kina uungane na infinite intelligence.
  9. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Hii unalosema hapa ni suala la sayansi wala halihusiani na imani. Kwenye maelezo nimekwambia ujifunze nini maana ya imani. Kumbuka wewe ndio umejenga hii hoja hivyo nilitarajia kuwa unao ufahamu juu ya imani.
  10. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Nafikiri hujaelewa maana ya imani. Mifano yote uliyoitoa haiendani na maana ya imani. Kwa mfano, kwa namna gani taarifa ya mamlaka ya hali hewa iwe imani? Imani haishughuliki na mambo kama hayo ulioyatolea mfano.
  11. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Kwa sababu hakina sifa. Kuhusu hicho kitendo ni kundi gani ni suala la ufahamu wa kawaida.
  12. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Kwa namna gani uchanga wa lugha ya kiswahili unafanya hoja ya kwamba "hakuna imani zaidi ya moja kuwa invalid"?
  13. N

    Philosophy of Religion: Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kwa hoja ya Ufunuo na maandiko matakatifu

    Hii sio sahihi. Kwa sababu kuamka salama hakuhusiani na imani; na hali hiyo haiwezi kuwa ndio imani.
Back
Top Bottom