Recent content by Nsuwe

  1. N

    Mwigulu,Kampeni Meneja wa Magufuli nimeogopa

    Hata Arumeru Mashariki Mwigulu ndiye alikuwa Meneja Kampeni wa Siyoi lakini alianguka tuuuu.
  2. N

    Lowassa hayumo 5 bora ndani ya CCM

    Jamani nyie mnaongea tu kwa kubwabwaja maneno,hakika hakuna mwenye ushawishi hapo ccm kama Lowasa....ninawaambia Rais ajaye ni Edward Lowassa....nashangaa kila siku watu wanamsema yeye tu...lakini mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
  3. N

    Edward Lowassa ni mwanaCCM halisi na mtaji wa CCM katika Uchaguzi Mkuu!

    Edward Lowassa ni mwanaume ukiona kila mtu anamtaja yeye ujue anakubalika mbaya sana,hapana chezea Mmeru huyo.....ni sheeedaa
  4. N

    Anayolalamikia Reginald Mengi kama ni kweli, tunaelekea kwenye udikteta usiomithilika

    Ni kweli kwa hali ilivyo bora watu tushikane
  5. N

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Mtakaa sana kwenye hilo la utamu kwani amekuwa Mcharo???
  6. N

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Una ushaidi kwenye ufisadiiwakee??
Back
Top Bottom