Jamani nyie mnaongea tu kwa kubwabwaja maneno,hakika hakuna mwenye ushawishi hapo ccm kama Lowasa....ninawaambia Rais ajaye ni Edward Lowassa....nashangaa kila siku watu wanamsema yeye tu...lakini mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.