Recent content by Nsutusu

  1. N

    JamiiForums Tanzania SoC03 Tumekubali kutawaliwa

    Njia rahisi ya kufanikiwa kwa watu wasio na uwezo wa kujiongoza wenyewe ni kuongozwa mfanowake naufananisha na Mbuzi au ng'ombe ukimpa uhuru atakula majani hata yale ya akiba ya chakula cha kesho, hvyo anahtaji kuongozwa. Hii ni sawa kabisa ukifananisha na afrika, "Kipofu hawezi kuongoza kipofu...
  2. N

    JamiiForums Tanzania SoC03 Hakuna uzalendo Tena

    Inatakiwa kupunguza matumizi kwa kiasi kukubwa ili kipato kifanane na matumizi, ukiangalia hata katika ngazi ya familia huwezi kutumia zaidi ya kipato chako. Kiongozi anatakiwa ajiamini na ahakikishe kuwa anatafuta namna nzuri ya nchi kujitegemea. Utawala mbovu (kushindwa kujitawala) hasa kwenye...
Back
Top Bottom