aisee nimeamua kujoin ili nipost huku...nilisoma habari hii kama visitor, kwa kuwa mimi siitaji ajira, nilimwambia rafiki yangu ajaribu na sasa yuko safarini kwenye interview kwenye kampuni moja ya tours huko arusha....nimetangaza mauzo ya shamba langu nimepigiwa simu na watu sita mpaka sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.