Recent content by Not man

  1. N

    Muuundo wa serikali tanzania katika katiba mpya

    Napendekeza serikali moja katika tatu kama ifuatvyo: Rais wa jamuhuri ya muungano awe na makamu wawili ambao ni Rais wa zanzibar na makamu wa kwanza wa Rais wa jamuhuri ya muungano, Rais wa Tanganyika na makamu wa pili wa Rais wa jamuhuri ya muungano, Rais wa Zanzibar na makamu wa...
  2. N

    Red Brigade: Kikundi cha mauaji, watekaji, wamwagia sumu na "nchi kutotawalika"

    Nkisema ligi sina maana ya wewe kupeleka hisia zako kwenye mpira tu,namaanisha fikra zako zifikirie kitu gan kina fata baada ya majesh ya vyama vyetu kukomaa na kujiimarisha kijeshi. Kwa sasa tumefikisha makundi mawili ya kijeshi yaani la CCM na CHADEMA,tukiendelea kusubiri mengine kujipanga...
Back
Top Bottom