Recent content by nondo-

  1. N

    Nape Nnauye auvuruga upinzani SAUT tawi la Mwanza na kuwaambia UKAWA hakuna juisi ya bure Ikulu

    [Ni vigumu kuamini kwamba Deni la Taifa limekua kwa kasi ya kutisha kutoka Sh10 trilioni mwaka 2005 hadi Sh29.4 trilioni Januari mwaka huu. Halafu mnakaa kushabikia ujinga, talk about the destination of our nation sio swala la kuwahonga masikini ili kuhamia ccm halafu watu wajinga wanakaa...
  2. N

    Nape Nnauye auvuruga upinzani SAUT tawi la Mwanza na kuwaambia UKAWA hakuna juisi ya bure Ikulu

    Hivi Tanzania tu wakweli na tuko serious enough kutaka kuuondoa umaskini kwa wananchi wetu, leo Nape Unazungumzia kuwa walioanza na uanzishwaji wa shule za kata ndiyo wanamaliza vyuo vikuu lakini husemi nin asilimia ngapi ya walioanza na wangapi ni waendesha boda boda na wengine wangapi...
  3. N

    Ni Yupi huyu CHADEMA mwenye cheti feki?

    kwa hiyo Serikali inajua wanaoforge vyeti lakini haiwashughulikii, hiv tuna mazingira gani Waziri wa Nchi anatamka kuwa wapo hata wabunge walio na vyeti feki lakini wameachwa regardless yuko chama gani kwa nn wasichukuliwe hatua. ndo yale yale ya majina ya madawa ya kulevya na majangili wa tembo...
  4. N

    Sakata la UDA: Serikali inawadharau wananchi?

    inasikitisha kwa sababu Watanzania tunaonekana misukukule
  5. N

    Ujumbe kwa Anna Kilango Malecela na Matayo David Mathayo

    FF ana haki na uhuru wa kuwasilisha yale anayoona wabunge hao wanapaswa kuyasema bungeni kwa kuwa ni mahitaji yao na zilikuwa ni ahadi za wabunge hao
  6. N

    Kikwete's 'Maisha Bora kwa Kila Mtanzania'

    nashukuru kuzungumza kuwa kuna umuhimu wa kufunguz jamii forum foundation kujaribu kuwasaidiz wenye matatizo kama walioonekana hapo juu
Back
Top Bottom