Miaka kumi sasa nanuka mdomo dawa mbali mbali nimetumia sana kienyeji pia za hospital mouthwash mswaki naujua sana meno meupe sana lakni hali bado tete kama kuna mtu alishawahi kupata hili tatizo na akapona basii nahitaji msaada pia hospitali gani bingwa ya kinywa naweza pata tiba ya vizuri...
Nimetengwa na jamii kisaa nanuka mdomo jamanii hta nipige mswaki kila saa bado mdomo unanuka nmejaribu dawa nyingi lkn hakun nafuu cijapona naombeni msaada ndugu zangu wapi nitapata tiba sahibi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.