Chama cha siasa kinachoamka asubuhi na habari ya katiba mpya jioni kinaamka na habari ya Heisnotaterorist hata hatuelewi mwelekeo ni upi chama ambacho kinamtegemea mtu mmoja asipokuwepo chama kizima kinapoteza nguvu, halafu mnakuja mnataka mpewe nchi.
Mnashangaza zaidi mnapokuja na hoja ya...
Inawezekana kumpuuza gwajima ikawezekana lakini itapendeza zaidi hoja na maswali yake pia yangejibiwa ili watanzania wanaoamini hoja zake waelewe vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.