Recent content by Noely Msuya

  1. N

    Baada ya Lema kuomba michango ya nauli ya "Kuzunguka Dunia Nzima," Sasa kuna tisheti za "He's Not a Terrorist" 🤔

    Chama cha siasa kinachoamka asubuhi na habari ya katiba mpya jioni kinaamka na habari ya Heisnotaterorist hata hatuelewi mwelekeo ni upi chama ambacho kinamtegemea mtu mmoja asipokuwepo chama kizima kinapoteza nguvu, halafu mnakuja mnataka mpewe nchi. Mnashangaza zaidi mnapokuja na hoja ya...
  2. N

    Propaganda za Chanjo ya COVID-19: Askofu Gwajima apuuzwe

    Inawezekana kumpuuza gwajima ikawezekana lakini itapendeza zaidi hoja na maswali yake pia yangejibiwa ili watanzania wanaoamini hoja zake waelewe vizuri
Back
Top Bottom