Recent content by Noel EK

  1. Noel EK

    Je, naweza kuhamisha mkopo kutoka Benki ya ABC kwenda benki zingine kubwa?

    Shida siyo kiasi gani utarejesha. Angalia muda gani utatumia kurejesha. Wafanya biashara wote wakubwa wanakopa. Mchawi hapo ni muda wa marejesho unatakiwa kuwa mdogo.usirejeshe kwa miaka mingi
  2. Noel EK

    Vigezo vya kuwa navyo ili uruhusiwe kumiliki duka la madawa .

    Habara wana jamvi,Naomba kujua vigezo gani natakiwa kuwa navyo ili niweze kumiliki duka la madawa.Pia naomba kujua dawa kwa bei ya jumla jumla zinanunuliwa wapi?
Back
Top Bottom