Ni muhimu sana kulinda heshima ya forum, unapotia habari ambazo ni taaabu kuaminiwa ni vyema basi kukuwa na data za kui support. Okey Magufuli out, please anyone share the data... I mean reliable ones!
Siasa safi, Uongozi bora, ndivyo vitu vinavyokusekana katika kufanikisha maisha bora ya Mtanzania. Nafikiri mazingira ya sasa hata tukijituma vipi watafanikiwa wale tu ambao wanajituma katika njia zisozo halali. Tusubiri mpaka pale wale wale wanaopinga mambo ndani ya CCM na mpaka sasa wamekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.