Recent content by nkumbizi

  1. N

    Naomba ushauri

    kwa ukweli tulikuwa tuko mbioni kubariki ndoa lkn mm ndo nilisitisha baada ya vituko na maudhi yake kwangu. alikuwa anamjali mtoto tu tn kwa asilimia ndogo na ni pindi ajisikiapo
  2. N

    Naomba ushauri

    Tulikuwa tuko mioni kubariki ndoa baada ya vituko hv mi nikasitisha kwanza "alikuwa akirudi asbh amewahi sn sa 8 au 9 za usiku na amelewa top, mapnz hakuna tn, anaondoka ata sumni haachi na hata kujua hali yangu au ya mtoto ilikuwa ni ngumu sn, alikuwa anijali kwa lolote yalinishinda kwa kweli.
  3. N

    Naomba ushauri

    Baba mtoto alinitenda sn wkt mtoto ana miezi 4 alipofika miezi 9 nikaamua kuachana naye nikajianzia maisha yangu,leo mtoto ana miaka 2 na nusu anaomba msamaha turudiane. Ushauri plziiii!
Back
Top Bottom