JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Naomba ushauri
Tulikuwa tuko mioni kubariki ndoa baada ya vituko hv mi nikasitisha kwanza "alikuwa akirudi asbh amewahi sn sa 8 au 9 za usiku na amelewa top, mapnz hakuna tn, anaondoka ata sumni haachi na hata kujua hali yangu au ya mtoto ilikuwa ni ngumu sn, alikuwa anijali kwa lolote yalinishinda kwa kweli.