Recent content by Njopa

  1. N

    Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

    Ila sasa kama lengo lako ni kiwanja tu! Kwa pesa hiyo naweza kukupatia ekari mbili ni mahali ambapo kuna Maji na umeme na Barabara kubwa ya EA inayojengwa lakini pia Old Moshi Rd na Reli! Ni 17 km toka mjini karibu na USA, Tengeru na Mandela university kuko vyema kwa kweli mie mwenyewe nina...
  2. N

    Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

    Mkuu ndio maana nimekwambia tufanye mawasiliano kwa kutumia WhatsApp namba yangu ni 0786262635! Najaribu tena hapa kuweka picha kama nitafanikiwa, Bado inagoma kuweka picha
  3. N

    Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

    ANyumba ni Unfinished house iko Njiro Corona Block J,karibu na Chuo cha Veta na Atomic. Nyumba ipo kwenye kiwanja cha 25 x 25 Nyumba ni kubwa, ina vyumba vitatu, viwili ni master, ina study room na vingine. Hakuna hati ila kina offer number. Inauzwa mil 50 o.n.o./Maongezi yapo picha humu...
  4. N

    Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

    Nashindwa kuweka picha zote, unaweza kuwasiliana nami kwa WhatsApp 0786262635 nikutumie picha nk!
  5. N

    Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

    Nyumba ni Unfinished house iko Njiro Corona Block J,karibu na Chuo cha Veta na Atomic. Nyumba ipo kwenye kiwanja cha 25 x 25 Nyumba ni kubwa, ina vyumba vitatu, viwili ni master, ina study room na vingine. Hakuna hati ila kina offer number. Inauzwa mil 50 o.n.o./Maongezi yapo
  6. N

    Natafuta plot Arusha Njiro au Moshono

    Mkuu hii kama itakupendeza twende kazi. Nyumba ni Unfinished house iko Njiro Corona Block J,karibu na Chuo cha Veta na Atomic. Nyumba ipo kwenye kiwanja cha 25 x 25 Nyumba ni kubwa, ina vyumba vitatu, viwili ni master, ina study room na vingine. Hakuna hati ila kina offer number. Inauzwa mil 50...
  7. N

    “14.5 ACRES OF LAND FOR SALE AT KING’ORI”

    “14.5 ACRES OF LAND FOR SALE AT KING’ORI” Dear all“! 14.5 Acres of land for sale at King'ori, EPZ area close to Gypsum industry, Price per Acre is 35m ono. The Land is 500 Mts from the main road and 45 Kms from Arusha. The land is accessible by road and very fertile. No title...
  8. N

    14.5 acres of land for sale at King’ori

    Dear all! 14.5 Acres of land for sale at King'ori, EPZ area close to Gypsum industry, Price per Acre is 35m ono. The Land is 500 Mts from the main road and 45 Kms from Arusha. The land is accessible by road and very fertile. No title deed but Suitable for various purposes including Hotel, it...
  9. N

    Nifanyeje Rejesho linaponishinda?

    Wanajamvi naomba ushauri wenu! Nina rejesho la mkopo ACB ambalo toka awali nikipewa mkopo nilishtuka kuwa itakuwa shida, ikanipasa kuchukua kwani nililazimika kwani muda wote wa miezi 4 nafuatilia mkopo nilijua ni kama nilivyoomba kwamba nirudishe kwa miaka 2. Mpaka siku naitwa kwenda kuchukua...
  10. N

    Nifanyeje Rejesho la Mkopo linaponishinda?

    Wanajamvi naomba ushauri wenu! Nina rejesho la mkopo ACB ambalo toka awali nikipewa mkopo nilishtuka kuwa itakuwa shida, ikanipasa kuchukua kwani nililazimika kwani muda wote wa miezi 4 nafuatilia mkopo nilijua ni kama nilivyoomba kwamba nirudishe kwa miaka 2. Mpaka siku naitwa kwenda kuchukua...
  11. N

    Sasa nauza Ekari 1 tu kwa TZS 10m Arusha

    Shamba lipo Kijiji cha Kikwe mpakani na Kijiji cha Nambala
  12. N

    Sasa nauza Ekari 1 tu kwa TZS 10m Arusha

    Labda nikupe nusu ekari?
  13. N

    Sasa nauza Ekari 1 tu kwa TZS 10m Arusha

    Nope! Thank you
  14. N

    Sasa nauza Ekari 1 tu kwa TZS 10m Arusha

    Wakuu bada haijakaa vizuri! Sasa nimeamua kuu Ekari 1 kwa bei poa kabisa ya 10m tu. Wahenga walisema kimfaacho mtu chake! Shamba lipo eneo zuri linalokua kwa haraka takriban kilometa 1.7 toka Mandela University. Kumbe shamba lipo mkabala na Chuo cha Mandela, Hort Tengeru, Usa river, barabara...
  15. N

    Bado natafuta mteja wa shamba - Arusha

    This is a fast developing area for residential and investments purposes. Its along the road to Merelani after leaving Old Moshi road and across railway at the first location of wooden electricity poles where you turn right 300 Mts from the road. The land borders the surveyed East African road...
Back
Top Bottom