Mungu na awalinde, awe pamoja nanyi katika kesi zenu zinazoendelea baada ya kunyang'anywa ubunge katika majimbo yenu.
1. Bwana Kafulila (Mgombea Ubunge kupitia NCCR Kigoma) Mahakama Kuu Tabora
2. Bwana Emmanuel Masonga (Mgombea Ubunge kupitia CHADEMA Njombe kusini) Mahakama Kuu Mkoa Iringa...
habarini wana Jf wote, ningependa kuomba kujitambulisha rasmi ndani ya Jamiiforums.
Tushirikiane katika kuchangia mawazo juu ya maada zitakazowekwa mezani!!
Mungu awabariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.