Hello marafiki,nauza simu hizi kwa bei nafuu sana na ni original kabisa, iPhone 6 s plus GB 64 700000 tu hakuna punguzo, blackberry passport 32 GB internal 200000 tu,nipo bukoba lkn tukielewana popote natuma kwa uwaminifu mkubwa,dar nishauza simu kama 7 hivi,ukitaka ushaid ntakuonesha na...